Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ana kaugonjwa ka akili 100%Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.
Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.
Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.
Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?
Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.
Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.
Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Asee kuna wanawake wameolewa na wanaume wa ajabu sana. Anyway pols yakeMimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!
Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.
Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
Pole yako wewe ambaye unajidai mtu wa sala halafu unaingiza hela mara moja kwa mwezi kama period! Hatujawahi kukuomba hela za matumizi we mwemaAsee kuna wanawake wameolewa na wanaume wa ajabu sana. Anyway pols yake
Anamtumia Mungu vibayaNina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.
Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.
Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.
Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?
Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.
Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.
Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Wakati mwingine vyanzo vya mifarakano ya kindoa ni vitu vidogo sanaPumba!
Wakati mwingine vyanzo vya mifarakano ya kindoa ni vitu vidogo sanaPumba!
Umenifanya nirud kuangalia mleta mada Ni Nani, kumbe Ni buji!!! Chai hii
Ni agent wa shetani, anataka kuniangusha dhambini.Mwambie analolitafuta atalipata soon
Ni agent wa shetani, anataka kuniangusha dhambini.Mwambie analolitafuta atalipata soon
AmeokokaMkuu hio inaitwa golden chance Mara nyingi haiji nyakati mbili. Mtafutie mwezie huyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app