Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Mkuu Bujibuji kwanza nikupongeze kwa mke mwema. Mimi nadhani mke wako anachohitaji "Mind set" ili aweze kuamini kwamba wanaume waaminifu kama wewe wapo. Jaribu kuongea naye na ikiwezekana kuuangana naye katika maombi ili aanze kukuona wewe kama muumini mwenzake na sio mume tu. Mimi ninaamini kama anaomba " with right Motive" Mungu atampatia majibu sahihi ya dukuduku lake.

Ahsante
Natamani ningekuelewa neno kwa neno, kibeberu hakipandi kiviiile, yaani nadokoadokoa tu maneno. Leo kwenye kibeberu sijaokota hata moja
 
Mbona rahisi tu,ukiona akakupigia kelele muda huo huo mvutie kitandani tu hapo,mpe full doze ataacha kukusumbua........ Inawezekana unampa muda mrefu sana wa kupumzika mpaka anahisi unamchepuko.....muoverdose ataacha kukusumbua
Nampaga dozi, ana squirt, siku ya Kwanza nikadhani ana fistula
 
Ningekuwa ni mimi naungana nae kwenye maombi akisema aonyeshwe mwanamke ninae tembea nae na mimi na nasema nionyeshwe mwanaume anayetembea nae humu napiga ukuta ya ni ni pasu kwa pasu alaf tuone kama hatokatisha maombi shwain
 
Inaonekana humpendi mkeo. Si umrahisishie mkeo hapo? Tafuta mchepuko fasta na tengeneza mazingira ya kukufuma.
Kama anataka kuoneshwa mchepuko na ww hauna, anachokitafuta ni nini? akishagundua ili iweje? Ningekuwa mimi, ningemrahisishia kazi. Sipendi ujinga kabisa
Wakati mwingine vyanzo vya mifarakano ya kindoa ni vitu vidogo sana
 
Inaonekana humpendi mkeo. Si umrahisishie mkeo hapo? Tafuta mchepuko fasta na tengeneza mazingira ya kukufuma.
Kama anataka kuoneshwa mchepuko na ww hauna, anachokitafuta ni nini? akishagundua ili iweje? Ningekuwa mimi, ningemrahisishia kazi. Sipendi ujinga kabisa
Mpende Mungu wako kwa moyo wako wote, na nguvu zako zote na akili zako zote. Mke hapendwi, anaheshimiwa tu. Ukimoenda mkeo utamfanya kuwa Mungu kwako, nawe utamuabudu, naye ataupindua Moto wako wa ibada
 
Mkuu labda nikushauri tofauti, kama hujawahi kabisa kuwa na mwanamke mwingine, ujue mkeo anataman upate mwanamke atakaelifundisha mambo flani, kuna jambo kama mwanaume hulifanyi kisawasawa, hivo anaona akikuambia atakuvunja moyo so anatafta mtu wa kumtupia zigo ili upate 3xperience. Nashukuru kama utaelewa.
Daaah!! Umewaza mbali Sana Mkuu acha nikupe [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako. Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
mmmmh
 
Back
Top Bottom