Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Kwa maombi hayo ni lazma tu atamjua mchepuko wako kuwa ni nyeto a.k.a mzee wa kujichukulia Sheria mkononi
 
We acha tu..nilikuwa bado naogopa ogopa si unajua tena. Nilivyofika form one nikanasa kwa mwamba mmoja hivi

Daah ila ulijitahidi. Mi kuna moja nimeisambaratisha juzikati dem kamaliza nayo hadi masters aisee nilimshangaa sana. Ila alilia sana akasema hakutegemea kama itakuja kutolewa na bazazi kama mimi
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako. Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Zile thread zako za Uchawi umeona uachane nazo umehamia upande wa pili?!!.
 
Daah ila ulijitahidi. Mi kuna moja nimeisambaratisha juzikati dem kamaliza nayo hadi masters aisee nilimshangaa sana. Ila alilia sana akasema hakutegemea kama itakuja kutolewa na bazazi kama mimi
Hongera sana bazazi
 
Mimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!

Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.

Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
Umenichekesha sana

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ha ha ha Mshana umesababisha nimecheka hapa kitandani asubhi mpaka naye huyu jamaa yangu kauliza unacheka nini nipe nisome meseji itakuwa imetoka kwa mchepuko nimempa asome ili naye aache kunisumbua na masala yao haya na wanachoudhi zaidi wanapeleka na hela kibao ya sadaka huko wanakotuombea tuwe waume bora eti tuache pombe na tusiwe na michepuko na wakati huu wa mechi za mpira za usiku yaani kabla hujarudi nyumba inakuwa imegeuzwa sinagogi duh duh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachek kama vile ni mazuri, kumbe hii iko sehemu nyingi, nilidhani ni kwangu pekee kumbe dah

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Naungana na wewe mkuu. Kuna uwezekano mkubwa huyu mwanamke kuna mtu tena mume wa mtu anapiga. sasa mwanamke hicho kitu kinamuumiza anafeel guilty sana kwahiyo ndio anatafuta "leverage". Akijua na jamaa ana mchepuko basi atafurahi sana maana atajua kumbe sio yeye tu.
Sahihi kabsa mkuu...namshauri aufanyie kazi ushauri wetu kabla mkewe hajanogewa na mchezo.
 
Akili inayoongelewa kwenye Bible ni hela, nyumba kali na gari ya maana. Unavyo? Kama huna, Basi wewe😴🤯🤕
😅😃 bila shaka wachungaji wanatumia mstari huo vizuri...

Naamini mchungaji wa kanisa analosali mkeo hvyo vtu kwake sio shida....hvyo jipange mkuu
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako. Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Mbona rahisi tu,ukiona akakupigia kelele muda huo huo mvutie kitandani tu hapo,mpe full doze ataacha kukusumbua........ Inawezekana unampa muda mrefu sana wa kupumzika mpaka anahisi unamchepuko.....muoverdose ataacha kukusumbua
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako. Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.

Mkuu Bujibuji kwanza nikupongeze kwa mke mwema. Mimi nadhani mke wako anachohitaji "Mind set" ili aweze kuamini kwamba wanaume waaminifu kama wewe wapo. Jaribu kuongea naye na ikiwezekana kuuangana naye katika maombi ili aanze kukuona wewe kama muumini mwenzake na sio mume tu. Mimi ninaamini kama anaomba " with right Motive" Mungu atampatia majibu sahihi ya dukuduku lake.

Ahsante
 
Mimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!

Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.

Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa
Maombi ni utamaduni wa kizungu, afuate ushauri wa wazee wa mila, wakifanya tambiko la kiafrika atapata jibu
 
Hizi dini zinatakiwa ziwe za wastani tu. Wake zetu na mama zetu wamechotwa sana akili. Siku nikipata mwanamke mwenye akili kama hizi naenda kumuacha huko huko.
 
Back
Top Bottom