Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.

Nilidhani mwaminifu kwenye ndoa ni mimi pekee kumbe tupo wengi, ongera sana kaka. Sasa na wewe anza kuomba Mungu akuonyeshe anayetembea na mke wako.
 
Nilidhani mwaminifu kwenye ndoa ni mimi pekee kumbe tupo wengi, ongera sana kaka. Sasa na wewe anza kuomba Mungu akuonyeshe anayetembea na mke wako.
Upendo hauhusudu. Hiyo husda, ni unafiki na kutafuta uadui. Huwezi kuwa na husda halafu ukasema wewe ni mwaminifu
 
Heee mna ugomvi? Au ndio huyu alikutapeli USA? Maana ulisema ni mwana JF, hukumtaja jina
Huyo Rebeca 83 anijulie wapi? Mimi simjui, simchukii ila ninampenda na kumuombea, Tena maombi ya dhati ili awe na mafanikio ya rohoni na mwilini.
Neno linasema

Luka : Mlango 6​

27 Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi,
Kila mmoja hujaribiwa kwa tamaa zake mwenyewe na kudanganywa.

Yakobo : Mlango 1​

14 Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
Alivutwa, akavutika. Alitamanishwa akatamani, watu wakala samaki, wamgeuza, wakaseoa.
Tamaa iliua fisi.

kumbukumbu la torati : Mlango 7​

25 Sanamu za kuchonga za miungu yao mtaziteketeza kwa moto; usitamani fedha wala dhahabu iliyo juu yao, wala usiitwae iwe yako usije ukanaswa nayo; kwa maana ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako;

Mithali : Mlango 24​

1 Usiwahusudu watu waovu,Wala usitamani kuwa pamoja nao;
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Walokole mnausumbufu, tatizo haujamzibua vya kutosha hilo sikio LA chini, we unampapasa tu, ungekuwa unampa mgegedo wa kutosha hawezi subutu kukwambia hayo, punguza upole kwenye mechi ichape hadi aseme inatosha
 
Walokole mnausumbufu, tatizo haujamzibua vya kutosha hilo sikio LA chini, we unampapasa tu, ungekuwa unampa mgegedo wa kutosha hawezi subutu kukwambia hayo, punguza upole kwenye mechi ichape hadi aseme inatosha
Nipe mstari kutoka kwenye maandiko wa kusimamia wakati wa kuchakata Tukuyu
 
itakuwa ana kijipepo kidogo dogo kinamsumbua,anza naww kumuombea
akipiga ukuta ww piga kabati kwa maombi...hakuna jambo linashindikana asee......ni kuombeana tuu.
In other way, mimi akiwa anaomba na kupiga ukuta mie huku naingiza dude kunako halali yake@#$%& cgjyijdhv b ?Sxch inxy

Lazima atulie kwanza. Ile kitu haina baunsa iwe wa misuli au kiakili au etc
 

Akili ya Kasinde mchana kweupeeee...

Imewaza huyo jamaa akiwa amevaa hivyo hivo nami naenda huko alikogeukia (kwa mbele) ikiwa iko wima....

Narindima na kunema vile nataka, natamba na kutambaa weeuweee raahaaa aahahahahahhaaa

Ila jamaa kama huyo akikishika kiuno, hakiachii hadi alegee legelege wakati huo ushakauka sauti kwa kupiga yowe la kila namna kwa lugha zisizotamkika.

Muwe na mlo mwema.
 
Mkuj hebu fafanua kidogo. Simu na emails anasoma na ndo anaset password kwa maana hata huu uzi hapa jf naye anajua unaitwa Bujibuji na anasoma uliyoandika?
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Nipe no yake nimpigie video call
 
Back
Top Bottom