Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Aiseeee wapo

Mwanaume malaya ana soko kubwa kuliko wa kawaida..

Kumbuka nilisema deep down wanapenda hii kwahiyo nje nje uwaga mnakataa ila ndani ya moyo uwaga mnajiuliza hivi huyu ana nini mbona anapendwa ngoja nijaribu nione.

Popote pale mwanaume ukifika ukatembea na mwanamke mmoja mzuri basi kama ni mtaani au darasani au kazini basi hapo ni umefungulia lango la kutembea na wanawake wengi ktk ilo eneo....

Tunao humu makazini tulikuwa nao humu vyuoni tunaona kabisa mtu ana maliza darasa hivi hivi na ni yeye mmoja mtu.Chunguza na wewe ulipo tafuta mwanaume malaya mmoja uone wanawake wanavyokuwa na mawenge wakimuona,wewe jitoe angalia wanawake wenzako wanyofanya mbele ya mwanaume malaya..just observe.
Mimi nasema hakuna huyo mwanamke
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.

Kavamiwa na mapepo anahitaji kuombewa
 
mkuu hapa umesema uko na jamaa ako kitandani
nikajua wewe ni KE... halafu hapa tena unaombewa uwe MUME bora

1+1=2
mkuu wewe umesharuka ukuta?
wewe na mke/mme wako mko upande wa pili kwenye upinde wa mvua?
😂😂😂
 
Mkuu acha mzaa kwa imani ya mtu aisee cos akiamini anaomba upigwe ukoma utapigwa tu mim staki nipoteze mtu sababu ya zalau so achana na imani yake budaa
 
Anaacha kuombea uchaguzi anakazana na wewe na pombe [emoji3]
[emoji23][emoji23] uyo wako ni noma huwa najiuliza kama mwanaume unatimiza majukumu yako kwa familia hiyo pombe ina effect gan kwake mpaka iwe hivyo
Wakuu, mtu asiyependa pombe kuwa na mwenza mnywaji pombe ni karaha sana.
Kama hujanywa huwa kinywa cha mwenza wako kinanuka kama shimo la choo.
Bahati mbaya sana hatuna utamaduni wa kuvaa viatu vya wengine.
Ingefaa tuqe tunawauliza wenzi wetu kwanini hawataki mume awe mtumiaji wa pombe, inamkera nini?
Na mwisho wa siku tuchukue maamuzi sahihi.
Miss Renee
Naomba mchango wako
 
mkuu hapa umesema uko na jamaa ako kitandani
nikajua wewe ni KE... halafu hapa tena unaombewa uwe MUME bora

1+1=2
mkuu wewe umesharuka ukuta?
wewe na mke/mme wako mko upande wa pili kwenye upinde wa mvua?
FB_IMG_16021955772957427.jpg
 
Wakuu, mtu asiyependa pombe kuwa na mwenza mnywaji pombe ni karaha sana.
Kama hujanywa huwa kinywa cha mwenza wako kinanuka kama shimo la choo.
Bahati mbaya sana hatuna utamaduni wa kuvaa viatu vya wengine.
Ingefaa tuqe tunawauliza wenzi wetu kwanini hawataki mume awe mtumiaji wa pombe, inamkera nini?
Na mwisho wa siku tuchukue maamuzi sahihi.
Miss Renee
Naomba mchango wako

Sasa unajua kabisa mtu awezi acha na anakunywa kiasi kwa kistaarabu kabisa lakini bado unafosi yeye aache sidhani kama ni rahisi kufanikiwa katika hilo.
 
Kuna wanawake wapendi Amani...Wakiona wenzao waume zao wanachepukaa.. wanataka nao waume zao wao Hivyo Hivyo.

Sasa akishamjua huyo mchepuko wako akamuona yeye kamzidi uzuri atafanyaje.
.au atakupeleka kanisani kukushtaki kwa uzinzi..
 
Back
Top Bottom