Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Ni kawaida ya wanawake, Wana maji ya upako, mafuta ya upako, chumvi ya upako, chupi ya upako kwa wanaotaka kuolewa au kupata watoto zaidi ya hayo yote, unawakuta wamejipanga mstari kwa Mshana Jr
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizi tuhuma jamani, chupi ya upako sijui ikoje, na sijui inasaidi nini

Chumvi ya upako najua Mshana Jr huwa anauza
 
Hahahah anatamani uchepuke trust me....

Mi mke wangu siku moja katika story story aliniambia yaani mi ningekuwa mwanaume ningewagonga htr[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Deep down wanapenda mwanaume mwenye wanawake wengi huu ni upuuzi ambao hata mimi toka nimewajua wanawake sijawahi kuulewa una maana gani
Hakuna mwanamke anapenda mwanaume mwenye wanawake wengi.
 
Nina mwaka wa nane wa ndoa na hakika nimekuwa ni mvumilivu Sana na mwaminifu Sana kwa ndoa yetu.

Nimezaliwa na kukulia kwenye familia ya Kikristo yenye msimamo mkali wa kiimani, hivyo Basi sijawahi kuvuta sigara, kunywa Pombe na hata uzinzi sio mzinzi, mke wangu ni mwanamke pekee kulala naye tangu nizaliwe.

Kinachonikera kwa miaka yote hiyo mke wangu amekuwa akitamani Sana kumjua mwanamke ninaye tembea naye nje ya ndoa.

Mara ya Kwanza nikajua ananitania, Mara kwa Mara alikuwa ananiambia darling natamani nimjue mwanamke unayetembea naye, nione kanizidi nini?

Daima jibu langu Mimi nimeokoka siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yako.
Haniamini na haamini majibu yangu, simu zangu na e mails yeye ndiye huset password, ana access nazo muda wote.

Sasa kuanzia juzi Yuko kwenye maombi, anaomba aonyeshwe kwa namna yoyote mwanamke ninayetembea naye, maana anachojua yeye hamna mwanaume asiyechepuka.

Mbaya zaidi anaomba kwa kulia kwa sauti huku akipigapiga ukutani.
Nunua gunia za mkaa badala ya tatu nunua 4. Ziweke chumbani bila kusema lolote akiendelea nitafute
 
Hakuna mwanamke anapenda mwanaume mwenye wanawake wengi.

Aiseeee wapo

Mwanaume malaya ana soko kubwa kuliko wa kawaida..

Kumbuka nilisema deep down wanapenda hii kwahiyo nje nje uwaga mnakataa ila ndani ya moyo uwaga mnajiuliza hivi huyu ana nini mbona anapendwa ngoja nijaribu nione.

Popote pale mwanaume ukifika ukatembea na mwanamke mmoja mzuri basi kama ni mtaani au darasani au kazini basi hapo ni umefungulia lango la kutembea na wanawake wengi ktk ilo eneo....

Tunao humu makazini tulikuwa nao humu vyuoni tunaona kabisa mtu ana maliza darasa hivi hivi na ni yeye mmoja mtu.Chunguza na wewe ulipo tafuta mwanaume malaya mmoja uone wanawake wanavyokuwa na mawenge wakimuona,wewe jitoe angalia wanawake wenzako wanyofanya mbele ya mwanaume malaya..just observe.
 
Huyo anakuektia maisha kama sio hivyo ana lake jambo ila ni kituko kweli kweli [emoji38][emoji4]
 
Mimi alikuwa anaomba eti niache pombe nikamwambia hiyo sala yako ikifanikiwa utakufa njaa na watoto hawataenda shule kwani kwenye pombe ndio natengeneza mipango ya pesa!

Na nikamwambia sala zako usiku sana ni kero nitakuwa siji mpaka umalize kwani unanikosesha usingizi .sali mapema au nenda kanisani.

Akafyata mkia kwani nilikuwa ikifika saa sita usiku nampigia kama bado anaendelea na kelele zake za maombi ili niendelee kupika stori sitaki kurudi nikute nyumba imebadirishwa kanisa

[emoji23][emoji23] uyo wako ni noma huwa najiuliza kama mwanaume unatimiza majukumu yako kwa familia hiyo pombe ina effect gan kwake mpaka iwe hivyo
 
Ha ha ha Mshana umesababisha nimecheka hapa kitandani asubhi mpaka naye huyu jamaa yangu kauliza unacheka nini nipe nisome meseji itakuwa imetoka kwa mchepuko nimempa asome ili naye aache kunisumbua na masala yao haya na wanachoudhi zaidi wanapeleka na hela kibao ya sadaka huko wanakotuombea tuwe waume bora eti tuache pombe na tusiwe na michepuko na wakati huu wa mechi za mpira za usiku yaani kabla hujarudi nyumba inakuwa imegeuzwa sinagogi duh duh

Anaacha kuombea uchaguzi anakazana na wewe na pombe [emoji3]
 
Hakuna namna inabidi nikutafutie kamlupo kamoja pisi hatari ukatafunage taratibu jamaa yangu. Maana mpaka sasa amini usiamini anakuhesabia ni moja ya wanaume maboya sana duniani
 
Back
Top Bottom