Maombi, sala na dua za mke wangu ni kero kwangu

Natamani ningekuelewa neno kwa neno, kibeberu hakipandi kiviiile, yaani nadokoadokoa tu maneno. Leo kwenye kibeberu sijaokota hata moja
 
Mbona rahisi tu,ukiona akakupigia kelele muda huo huo mvutie kitandani tu hapo,mpe full doze ataacha kukusumbua........ Inawezekana unampa muda mrefu sana wa kupumzika mpaka anahisi unamchepuko.....muoverdose ataacha kukusumbua
Nampaga dozi, ana squirt, siku ya Kwanza nikadhani ana fistula
 
Ningekuwa ni mimi naungana nae kwenye maombi akisema aonyeshwe mwanamke ninae tembea nae na mimi na nasema nionyeshwe mwanaume anayetembea nae humu napiga ukuta ya ni ni pasu kwa pasu alaf tuone kama hatokatisha maombi shwain
 
Inaonekana humpendi mkeo. Si umrahisishie mkeo hapo? Tafuta mchepuko fasta na tengeneza mazingira ya kukufuma.
Kama anataka kuoneshwa mchepuko na ww hauna, anachokitafuta ni nini? akishagundua ili iweje? Ningekuwa mimi, ningemrahisishia kazi. Sipendi ujinga kabisa
Wakati mwingine vyanzo vya mifarakano ya kindoa ni vitu vidogo sana
 
Mpende Mungu wako kwa moyo wako wote, na nguvu zako zote na akili zako zote. Mke hapendwi, anaheshimiwa tu. Ukimoenda mkeo utamfanya kuwa Mungu kwako, nawe utamuabudu, naye ataupindua Moto wako wa ibada
 
Daaah!! Umewaza mbali Sana Mkuu acha nikupe [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
mmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…