Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

We nuna tu ila ndo hivyo nakupa siku utarudi tu HOME [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
Ngoja nicheke kidogo
 
Je uo mwenzio uliempata. Kweli utaweza kumridhisha? Ukiwa nwanachama hai wa CHAPUTA wengi wenyu wabakabiliwa na matatizo ya kuwahi mapema. Hata hivyo usihofu Dawa ninazo....
Chama kina members hai na tunataka watu kama nyie ili kiendelee
Au nasema uongo ndugu zangu?
CHAPUTA 2021.
 
Yan kwamba makao makuu ya hiyo sijui CHAPUTA ni mkoani geita,chato.kha sasa ni kodi kiasi gani mnaingizia serikali ya maskini.
Mjumbe swali lako tumelipata,
Tunakuahidi kulifanyia kazi.
CHAPUTA 2021.
 
Vp kuhusu ukarabati wa jengo makao makuu ndugu wajumbe?
Ndugu mjumbe ahsante kwa maoni yako
Tunaahidi kuyfanyia kazi.
CHAPUTA 2021
GEITA-CHATTLE.[Makao makuu]
 
Chama kitaelekea kufa

Nahisi sasa mtafute katibu mwenezi wa chama kwa sababu aliyepo kazi imemshinda[emoji23][emoji120]
 
Ndugu wajumbe nasikia tetesi kwamba CHAPUTA ni tawi la Freemason. Je ni kweli au ni maneno ya wapinzani???
🀣🀣🀣🀣🀣 hao wanaosema ivo ni wapiga ramli chonganishi wakamatwe mara moja.
 
Ndugu wajumbe nasikia tetesi kwamba CHAPUTA ni tawi la Freemason. Je ni kweli au ni maneno ya wapinzani???
Ndugu mjumbe wa CHAPUTA kaskazini,
Nikiwa kama mwanachama mstaafu nipende kusema kua hizo habari ni za uongo na hazina ukweli wowote.
Nipende kutoa rai kwa wanaCHAPUTA wote kua hizo habari zipuuzwe.

Makao makuu CHAPUTA,
GEITA-CHATTLE.
 
Chattle,,, chaputa imeshafika!!!

Sent from my ONE A2001 using JamiiForums mobile app
 
🀣🀣🀣🀣🀣 hao wanaosema ivo ni wapiga ramli chonganishi wakamatwe mara moja.
😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…