Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama kina members hai na tunataka watu kama nyie ili kiendeleeJe uo mwenzio uliempata. Kweli utaweza kumridhisha? Ukiwa nwanachama hai wa CHAPUTA wengi wenyu wabakabiliwa na matatizo ya kuwahi mapema. Hata hivyo usihofu Dawa ninazo....
Nataka kujua kwanini hafuti majina ya watu waliojitoa chamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayafuti coz baada ya mda Raia Hurudi kurenew mkataba [emoji28][emoji28][emoji28]
wewe ni mwanachama tena hai na huo ndo ukweriHahahahaahahaah
Mkuu tulikua bize kidogo kwenye kikao
MAKAO MAKUU
GEITA-CHATTLE
🤣🤣🤣🤣🤣 hao wanaosema ivo ni wapiga ramli chonganishi wakamatwe mara moja.Ndugu wajumbe nasikia tetesi kwamba CHAPUTA ni tawi la Freemason. Je ni kweli au ni maneno ya wapinzani???
Ndugu mjumbe wa CHAPUTA kaskazini,Ndugu wajumbe nasikia tetesi kwamba CHAPUTA ni tawi la Freemason. Je ni kweli au ni maneno ya wapinzani???
Chattle,,, chaputa imeshafika!!!Tumepokea barua yako
Nikiwa msemaji wa chama nikutakie safari njema huko uendako
Rai kwa wanachaputa
Mi nipende kuwahusia tuepushe kuwa na tabia za kimalaya kwenye siasa kama unabaki unabaki kweli kwenye chama sio unaondoka halafu unarudi tena ni hayo tu
Asanteni
Chaputa makao makuu
Chattle ,Geita Tz
Imefika mkuu na ipo ofisi yake ambayo mwenyekiti wetu yupo kwa sasa akiendelea na shughuli za kukijenga chama licha ya makao makuu kuwa dalisalama