Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

Ungeomba ushauri kwanza mkuu kabla hujafanya maamuzi. hujiulizi kwann akina lowasa walirudi kuunga mkono juhudi za mkuu? Enewei unakaribishwa tena
 
Ungeomba ushauri kwanza mkuu kabla hujafanya maamuzi. hujiulizi kwann akina lowasa walirudi kuunga mkono juhudi za mkuu? Enewei unakaribishwa tena
Chama kibovu hiki
Mshahara sijapata mwaka sasa
Ngoja niwasiliane na makao makuu
CHATTLE.
 
Sisiemu wameanza kununua hadi wanachama wa chaputa dadeq
 
Huyu kama lowasa tu, utasemaje umeahama chama na haujarudisha kadi?

Amesahau sheria za uanachama..
Unaweza kuingia ndani ya chama hata kwa bahati mbaya..
Ila
Kutoka ndani ya chama hata kwa makusudi huwezi Hama chama

Labda itokee umesaidiwa na
Ma hackers wa chama tu..
 
Tumepokea barua yako
Nikiwa msemaji wa chama nikutakie safari njema huko uendako

Rai kwa wanachaputa
Mi nipende kuwahusia tuepushe kuwa na tabia za kimalaya kwenye siasa kama unabaki unabaki kweli kwenye chama sio unaondoka halafu unarudi tena ni hayo tu

Asanteni


Chaputa makao makuu

Chattle ,Geita Tz
[emoji3][emoji3]
 
Amesahau sheria za uanachama..
Unaweza kuingia ndani ya chama hata kwa bahati mbaya..
Ila
Kutoka ndani ya chama hata kwa makusudi huwezi Hama chama

Labda itokee umesaidiwa na
Ma hackers wa chama tu..
Ila kadi sijarudisha bado
 
Pitia hapo dirishani kwa mhasibu kuna zawadi yako tumekuandalia kwa kutambua mchango wako uliotukuka katika chama tumekuzawadia boxi mbili za sabuni ya jamaa, Vaseline catoni moja na loshen ya Nivea chupa sita. Utakua unapasha kiporo siku mojamoja. Kila la heri.
 
Tunapendana tunafurahi, tukikutana tunajidai

Tuna vicheko, nikiwa na wanangu gheto tunafanya mpaka......
 
Back
Top Bottom