Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Mkuu nimekwambia usisahau kutuletea mrejesho
Mungu wangu yasije yakanikuta hayo leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wangu yasije yakanikuta hayo leo
Sema yule mwanamke namshukuru sana alimchezesha sebene lile lijamaa hadi likawa hoi likalala fofofo,ndo kuchoropoka spidi 120Pole jamani umefungiwa kwenye kabati sijui ulikuwa vipi uko huku mbebez anatoa miguno ya kukulwa
Aiseee pole sanaSema yule mwanamke namshukuru sana alimchezesha sebene lile lijamaa hadi likawa hoi likalala fofofo,ndo kuchoropoka spidi 120
Mbunye hatari
Haya mama ,maombi yako ni muhimu kwa hii risk
Kwamba akatimize haja za moyo wakeSasa namuombeaje jamanii...eti Cole??[emoji3]
Asante SAiseee pole sana
Haja si za kwake,ajiombee tuu mwenyewe,.Kwamba akatimize haja za moyo wake
Na mimi je nikitaka maombiHaja si za kwake,ajiombee tuu mwenyewe,.
Utafanyiwa,yenye utukufu ndani yake[emoji1]Na mimi je nikitaka maombi
Maombi ya umoja yana nguvuHaja si za kwake,ajiombee tuu mwenyewe,.
Lifungie safari acha kujizungusha zungusha![emoji4] [emoji4] [emoji4]Hilo jimbo iko namna, si bure.
Mmmh[emoji58]Maombi ya umoja yana nguvu
Nimekumisi mumu wanguMmmh[emoji58]
Kesho uje utupe yaliyojiriAmekuwa akiomba sana niende,leo nimejitoa mhanga
Me too DJ wetu,.Nimekumisi mumu wangu
We unataka nini we amekuambia anaenda darUnatokea wapi mbona hutaki kunijibu?
Kinachonistua ni namna mwanamke alivyo desperate uende. Mpaka atakufuata na gari STENDI!Ameniambia nikifika Ubungo atakuwepo kunipokea na gari lake na kwenda nae kwake ,sasa sijui itakuaje hapo