[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shunie bhna,, ngoja aende bhana atakuwa kadatishwa na mapicha picha huyu sio bure
Baba mtoto nasoma picha linavyokwenda nitaleta mrejesho..!We kaka una moyo na kauzu. Mdada hata humjui unafikiaje kwake na ana mtoto juu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana maana hata kdogo,, ngoja wakamtoe maji,,maana amedai anatoka Karagwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kadatishwa na mapicha fake mapicha ya kudownload wanawake wa mjini hawana maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana maana hata kdogo,, ngoja wakamtoe maji,,maana amedai anatoka Karagwe
Siku hizi kuna nafasi ya mtu umeikamatia sana... RUBBISH.Umebeba KY au utazikuta huko huko?.
Leo utatolewa marinda.
Nauli ipo hata ya kufika Moro nikapiga reverse ila kwa vile ameonekana kama anahitaji na Mimi ngoja tu nikamuone hapo kwake hamna namna ili niamini je ni kweli hana mtuUkute hata nauli ya kurudi hana. Ila kukubali kufikia nyumbani kwa mwenyeji wake ni kosa kubwa. Bora wangekutana lodge
Basi kila la kheri mkuu. Hope for the best.Nauli ipo hata ya kufika Moro nikapiga reverse ila kwa vile ameonekana kama anahitaji na Mimi ngoja tu nikamuone hapo kwake hamna namna ili niamini je ni kweli hana mtu
Narudia tena ... In rose muhando voice....facebook Facebook tweeter umekuwa balaa kwa kizazi chaleo..... Gari itakayo kupokea ubungo angalia nyuma kuna taulo jeupe ukiliona usipande shauli yako tunakusomea tuu ramaniThank you!
Tunasubiri mresho wenye kichwa cha habari "Rafiki yangu kafumuliwa kisa dezo" maana yakiwakuta hamjisemi mnasingizia rafiki [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Maombi yenu jaman ni muhimu sipati picha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baba mtoto nasoma picha linavyokwenda nitaleta mrejesho..!
Ilikuwa Arusha babati,nimeenda kwenye kongamano flani 2016,basi kuna Dada tukapendana sana,akawa anakuja lodge namdukua anarudi kwake,Sitakuja kulala kwa mwanamke kwa yaliyonikuta
Ilikuwa Arusha babati,nimeenda kwenye kongamano flani 2016,basi kuna Dada tukapendana sana,akawa anakuja lodge namdukua anarudi kwake,
Siku moja nikaenda kwake baada ya kunibembeleza sana,ana good life nikastaajabu kaanza Kazi hana hata nusu mwaka yuko fresh sana
Bhasi tukaendelea kufanya yetu huku tunapombeka,drunkard love!!
Tumelala hoi hatujielewi Mara honi Mara simu Mara ngongongoo mlangoni!!
Nikamuuliza bibie nani huyo demu anazunguka tu kama amebaha pombe zimeruka!
Mzee baba nikafungiwa kabatini,wakaanza kulana huku nasikilizia,sikuwa na cha kufanya lijamaa lilikuwa soldier captain bisto hakosi.
Ilibidi nisikilizie wamalize gemu jamaa aoge asinzie ndio nitoke,sina hamu
Acha kabisa shunie sikia kwa jirani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pole
Pole jamani umefungiwa kwenye kabati sijui ulikuwa vipi uko huku mbebez anatoa miguno ya kukulwaAcha kabisa shunie sikia kwa jirani