Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Basi acha niishie hapo..tuvute subra muda wake muafaka ufike. Ila popote unapokua na chochote unachokifanya, usisahau ahadi yetu.
Iko siikuuu...
Hahahahahhahaha umenikimbusha huu wimbo....
ikoo sikuuu eeehh mpenz Maua,
Nitakuja kwa wazazi wakoo, mpenz upepo...
Hili dude ushaliamsha tayari....linakuhusu hili njoo upambane nalo.