Maombi yenu tafadhali

Maombi yenu tafadhali

Yeye hakutakiw apate uchungu ingeleta shida so doctor akapanga operation tarehe 25 ila wife akaomba iwe leo zifanane. .

My wife can't give normally operation inahusika mzee. My wife na watoto wangu wawili wote birthday zao 29th. .
Sawa brother, hongera na all the best
 
😄😄 Hongera sana....kila la kheri kwa mkeo atoke salama huko..

Kuna masaa si chini ya 8 ya kulala kwa mgongo tu... Ganzi ikiisha kuna maumivu yatapita hapo....kuna ile siku ya kuanza mazoezi...ile unaanza nyanyuka kwa mara ya kwanza maumivu yake yasikie..... Mungu amfanyie wepesi kwa yote..... Operation sio kitu chepesi basi tu
Acha tu hapa ataamka saa kumi. Atakala mpaka saa kumi ndio ale na kunywa. Bado siku ni ndefu. Ila she is sleeping next to me. Nimeambia na doctor nimkande kande miguu. .
 
Mimba ya kwanza mke wangu alijifungua kwa operation. Tulitegemea iwe kawaida bahati haikuw yetu mtoto alikuwa amejifunga nilihangaika kutafuta doctor Amana na Muhimbili. .

Sasa kutokana na hali yake hatakiwi apate uchungu na mshono ulikuwa katika hali ya kitatuka. Hakuna anayependa kufanya operation ndugu yangu uambie mdomo wako "mdomo koma". Mambo ya kheri yapite njia zako usikutane na kasia hizi. .

Mungu ni mwema nimepata mtoto wa kiume. Anafanana na mimi saba sana . .
Yote juu ya yote hongera kuzaa sio kazi ndogo ila mjini hapa kuna maslay queen hawawezi kupush,wao hupangaappointment na madaktarii siku ya kupigwa mkasi
 
Yote juu ya yote hongera kuzaa sio kazi ndogo ila mjini hapa kuna maslay queen hawawezi kupush,wao hupangaappointment na madaktarii siku ya kupigwa mkasi
Ni mbaya sana operation sio kitu kizuri huwa wanawazaga nn sijui na nasikia pia Kuna maumivu sana Bora ujifungue kawaida km hauna shida yoyote
 
Much congratulations mkuuu watoto ni baraka!!
Mungu ni mwema atasaidia arekave mapema na kusiwe na changamoto zozote zitokanazo na oparie!
Allah Awajalie afya njema furaha na maisha marefu wewe mama na wanao IJN!
 
Much congratulations mkuuu watoto ni baraka!!
Mungu ni mwema atasaidia arekave mapema na kusiwe na changamoto zozote zitokanazo na oparie!
Allah Awajalie afya njema furaha na maisha marefu wewe mama na wanao IJN!
Mliopata watoto mmebarikiwa sana maana ni Raha kupita kiasi kuwa na watoto,huwa nafikiriaga Ile Raha unapewa mwanao unyonyeshe aisee Kwa mara ya kwanza😍
 
Soma zaburi 23..... Barikiwa Sana mtumishi

Zaburi 23:1-6

"BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika. Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu"
Hongera tena na tena Gily
 
Back
Top Bottom