Mr yanga unateseka ukiwa wapiJana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.
Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.
Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Kuna waandish wamemuuliza....kasema CAF ndio walichagua wimboKiukweli alikosea selection ya wimbo hakuendana na tukio, nadhani aliangalia hit song na sio tukio,
Washauri wake wamechemka
Sent from my Pixel 4 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna waandish wamemuuliza....kasema CAF ndio walichagua wimbo
Ali Kiba aliulizwa kuhusu selection ya wimbo, akasema watu wa CAF waliondaa sherehe waliuchagua. Hata muda mfupi alioutumia kufanya show pia ilikua ni mpango wa waandaji wa hiyo sherehe so sio uamuzi wake wala Simba.Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.
Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.
Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Hapana, utopolo hawawezi kuwakilishwa na simbaAliwakilisha nchi
Kwa ule wimbo...hapanaAli Kiba aliulizwa kuhusu selection ya wimbo, akasema watu wa CAF waliondaa sherehe waliuchagua. Hata muda mfupi alioutumia kufanya show pia ilikua ni mpango wa waandaji wa hiyo sherehe so sio uamuzi wake wala Simba.
Kama uto alivyopigwa homeKolo kaaibisha taifa
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna waandish wamemuuliza....kasema CAF ndio walichagua wimbo
Hapa katupiga na kitu kizitoAli Kiba aliulizwa kuhusu selection ya wimbo, akasema watu wa CAF waliondaa sherehe waliuchagua. Hata muda mfupi alioutumia kufanya show pia ilikua ni mpango wa waandaji wa hiyo sherehe so sio uamuzi wake wala Simba.
Aliyekurupuka ni wewe kumlaumu Kiba wakati choice ya nyimbo iliombwa na CAF. Hujaelewa hata nilichoandika. Poor soul.Kabisa Mzee.....kiba alikurupuka...bila kujipanga
Kiba apimwe kwani nae kapost nin, ki hesabu nmegundua kuna empty set pahala.Kabisa mkuu.....kiba ilibidi apimwe
Unaikumbuka wakawaka ya Shakira na ekoni mpaka Gerald pique akapata mke ,mipangoNakubaliana naww mkuu
Kwenye madimbwi pale jangwani