Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.

Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.

Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Mr yanga unateseka ukiwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kiherehere cha kukurupuka haya sasa walaumuni CAF. Mmezoea kulalamika.
 
Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.

Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.

Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Ali Kiba aliulizwa kuhusu selection ya wimbo, akasema watu wa CAF waliondaa sherehe waliuchagua. Hata muda mfupi alioutumia kufanya show pia ilikua ni mpango wa waandaji wa hiyo sherehe so sio uamuzi wake wala Simba.
 
Ali Kiba aliulizwa kuhusu selection ya wimbo, akasema watu wa CAF waliondaa sherehe waliuchagua. Hata muda mfupi alioutumia kufanya show pia ilikua ni mpango wa waandaji wa hiyo sherehe so sio uamuzi wake wala Simba.
Kwa ule wimbo...hapana
 
Back
Top Bottom