Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
- Thread starter
-
- #21
Aliacha vijana watatu au vibaka watatu?Argumentum ad hominem...
Kamarada Kinana amechafuliwa sana na "siasa majitaka"....[emoji1787]
Zilianzia hapaaa....
El Commandante Kingunge Ngombale Mwiru aliwahi kusema "....CCM NIMEACHA VIJANA WATATU TU..."
1)Jakaya Mrisho Kikwete
2)Edward Ngoyai Lowassa
3)Komredi Abdulrahman Kinana
**********
TAFAKARI
#SiempreJMT[emoji120]
#Karibuni Komoni[emoji120]
Anaanzaje kumchunguza boss wake? Adabu ya wapi hiyo? Ukiona Simba Sabasaba ujue kaletwa.Rais tafadhali sana, mchunguze mzee Kinana, tena mchunguze haswa. Ahsanteni.
Una imani na hili jangiliiiii na jjjjjizi!!!!Tukija kwenye mada, si mara moja wala mara 2 nikiwa na watu wa kuaminika na wenye heshima kubwa wanao simamia mali asili zetuhususa ni hifadhi, wakanijuza kuwa tunahujumiwa.
Ndiyo, tunahujumiwa. Ikumbukwe kuwa mali asili zilizopo hapa nchini ni kwa manufaa ya umma, hatukatai wananchi wakiwamo viongozi kufanya uwekezaji la hasha, tunachokataa ni janja janja kwenye mali za nchi.
Rais tafadhali sana, mchunguze mzee Kinana, tena mchunguze haswa. Ahsanteni.
Mkundrrrrttt wakoAliacha vijana watatu au vibaka watatu?
Aiseee mbavu zaniuma mkuu! Hahahahaha 😁😄😆😅😂🤣😭Nasikia huyo anaijua dental formula ya Tembo hatari
Mnasahau tulishaliweka kiti na matokeo mliyajua! Tena tuliliweka kwenye viti viwili!2025 kuliko ccm iendelee kuongoza Bora jeshi lichukue kijiti 🥴
Wote mwenyekiti na makamu wake wana kashfa nyingi hakuna kitakachoendelea.Kwamba Rais hawezi kumdhibiti? Mbona Magufuli alimdibiti?
Kilichompata si unakijuaKwamba Rais hawezi kumdhibiti? Mbona Magufuli alimdibiti?
jeshi la koh koh yow yow kondeboy.2025 kuliko ccm iendelee kuongoza Bora jeshi lichukue kijiti 🥴
Nape akajitaifishia land cruiser Jiwe akaikamata kupitia BashiruNakumbuka maneno ya ROSTAM AZIZ....
"...siasa uchwara..."..
Akaacha utunzaji fedha wa CCM...[emoji1787][emoji1787]
Kujivua Gamba kukapelekea yale...
Komredi Kinana akaanza kuzunguka na komredi Nape....
[emoji1787][emoji1787]
Mwenyekiti wetu mh.Rais SSH ana washauri wengi mno.......Huyo Kinana ndie humwambia Samia kata kushoto, geuka kulia, nenda mbele, subiri kidogo...
Ulichokifanya hapo ni sawa na kuliambia gari limshtaki dereva.
wanaweza wakiwezeshwa, huyo aliweza mwenyewe.Kwamba Rais hawezi kumdhibiti? Mbona Magufuli alimdibiti?
Atakuwa msomali nadhaniWanasema kubaguana siyo, lakini hivi kinana ni kabila gani? ana uchungu kweli na mali za Tanganyika?