KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
🤣🤣🤣Jinsi jeshi lilivyo halina tofauti na akili za raia walivyo hii inaitwa old version ,mawazo mfu ya mfenengeUkimtazama kwa jicho la tatu...He is a smart.......pengine jeshi lilimfunza vyema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Jinsi jeshi lilivyo halina tofauti na akili za raia walivyo hii inaitwa old version ,mawazo mfu ya mfenengeUkimtazama kwa jicho la tatu...He is a smart.......pengine jeshi lilimfunza vyema.
Yule mzee mwenyewe alikuwa kibaka.Aliacha vijana watatu au vibaka watatu?
####hesabu haidanganyi,usmart jeshini🤣🤣🤣🤣🤣Jinsi jeshi lilivyo halina tofauti na akili za raia walivyo hii inaitwa old version ,mawazo mfu ya mfenenge
[emoji23][emoji23]Bado unang'ang'ania sare zao mkuu, rudisha haraka. Jeshi letu ni namba 6 kwa ubora duniani.
Kwahiyo kinana ni mmiliki wa Simba wa sabasaba?Anaanzaje kumchunguza boss wake? Adabu ya wapi hiyo? Ukiona Simba Sabasaba ujue kaletwa.
Naunga Mkono hoja Yako 100%2025 kuliko ccm iendelee kuongoza Bora jeshi lichukue kijiti [emoji3061]
Huyo anajulikana siku nyingi kuwa ni jangili mkubwa lakini hakuna wa kumgusa maana CCM wote ni majuzi mafisadi watupu, hakuna muadilifu hata mmojaTukija kwenye mada, si mara moja wala mara 2 nikiwa na watu wa kuaminika na wenye heshima kubwa wanao simamia mali asili zetuhususa ni hifadhi, wakanijuza kuwa tunahujumiwa.
Ndiyo, tunahujumiwa. Ikumbukwe kuwa mali asili zilizopo hapa nchini ni kwa manufaa ya umma, hatukatai wananchi wakiwamo viongozi kufanya uwekezaji la hasha, tunachokataa ni janja janja kwenye mali za nchi.
Rais tafadhali sana, mchunguze mzee Kinana, tena mchunguze haswa. Ahsanteni.
Kumwambia amchunguze Kinana ni swa na kumwambia ajichungeze yeye binafsiTukija kwenye mada, si mara moja wala mara 2 nikiwa na watu wa kuaminika na wenye heshima kubwa wanao simamia mali asili zetuhususa ni hifadhi, wakanijuza kuwa tunahujumiwa.
Ndiyo, tunahujumiwa. Ikumbukwe kuwa mali asili zilizopo hapa nchini ni kwa manufaa ya umma, hatukatai wananchi wakiwamo viongozi kufanya uwekezaji la hasha, tunachokataa ni janja janja kwenye mali za nchi.
Rais tafadhali sana, mchunguze mzee Kinana, tena mchunguze haswa. Ahsanteni.
Aisee, wazee wengine bwana.Huyo anajulikana siku nyingi kubwa ni jangili mkubwa lakini hakuna wa kumgusa maana CCM wote ni majuzi mafisadi watupu, hakuna muadilifu hata mmoja