Maoni Binafsi: Sina imani na Mzee Kinana

Ukimtazama kwa jicho la tatu...He is a smart.......pengine jeshi lilimfunza vyema.
🤣🤣🤣Jinsi jeshi lilivyo halina tofauti na akili za raia walivyo hii inaitwa old version ,mawazo mfu ya mfenenge
 
Yaani Simba auwawe na kutumwa nje ktk parcel na asiwepo wa kuwajibika Kweli?


V. Kamata ni nani vile!!
 
Huyo anajulikana siku nyingi kuwa ni jangili mkubwa lakini hakuna wa kumgusa maana CCM wote ni majuzi mafisadi watupu, hakuna muadilifu hata mmoja
 
Kumwambia amchunguze Kinana ni swa na kumwambia ajichungeze yeye binafsi

Mwenye uwezo huo alikuwa hayati Magufuli pekee
 
Huyo anajulikana siku nyingi kubwa ni jangili mkubwa lakini hakuna wa kumgusa maana CCM wote ni majuzi mafisadi watupu, hakuna muadilifu hata mmoja
Aisee, wazee wengine bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…