Njaa haiangalii hayoTena kuna kushuka zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa haiangalii hayoTena kuna kushuka zaidi
Wengine hawapati teuzi kabisaDkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
Tabia ya kupiga picha msiso wangu na kuu attach humu sipendagi MkuuKikubwa posho
Watu waendelee kula nyama wanyamazeView attachment 1802990
Hoja yako ni dhaifu sana. Ni kweli huko nyuma alikuwa balozi Kenya na Japan. Lakini mwaka 2016 akatumbuliwa na Mwendazake na tangu muda huo akawa kijiweni. Sasa amepata uRAS unasema ameshushwa! Kutoka kijiweni hadi RAS si kushushwa bali ni kupandishwa. Fact!Uko sawa Mkuu, aliwahi kuwa balozi Japan na Kenya na bado ana hadhi yake kama Balozi.
Kwa NJAA KALI aliyonayo Atadhani Amepata PromotionDkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
She never got to Japan. It was blocked by someone with real brain. Yeah I really don’t get it how all these oldies accepting low ministerial appointments. She was a Minister. It seems also the president has too many powers, this should have been done by Ummy. The president appoints everyone. Tea ladies will soon be appointed also and have to go to a swearing ceremony, possibly next destination is Zanzibar.Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
Hakwenda Japan, JPM Alipiga stop hiyo. Was a Kikwete rubbish appointment.Hoja yako ni dhaifu sana. Ni kweli huko nyuma alikuwa balozi Kenya na Japan. Lakini mwaka 2016 akatumbuliwa na Mwendazake na tangu muda huo akawa kijiweni. Sasa amepata uRAS unasema ameshushwa! Kutoka kijiweni hadi RAS si kushushwa bali ni kupandishwa. Fact!
😛😛😛😛😛Kwanini asikatae kama amedhalilishwa? si ajiajiri sababu tayari ana mtaji?
Bora wangempa hata ubunge wa Magogoni. Mama Samia sijui anakwama wapi?
Akiwa nalozi alifanya nini haswa inayompa hadhi ya kuteuliwa mkuu wa mkoaDkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.
YesAshukuru hata huo URAS kupata sie wengine hata ukatibu kata hatujapata
Huyu alikuwa na skendo ya kugawana magari ya msaada kwa serikali toka Japan, nashangaa wamemrudisha, maana ule ulikuwa wizi. Kuna watu hata wakifanya kosa gani bado CCM itawakumbatia, hata waliojaribu kuua.Dkt. Batilda Buriani alikuwa Balozi Kenya na Japan, Leo kateuliwa kuwa Katibu Tawala mkoa!! Ni kudhalilishwa mno, ni mawazo yangu.
Angepewa hata ukuu wa Mkoa.