Nyie semeni tu ila Ualimu sio issue kabisa hao waaliotoboa ni 0.001 ya walimu woteAnajua waalim wa leo ndio wa enzi zile za ualimu wito!!. Siku hiz ualim kazi.
Sawa wapo choka mbaya kama walivyojaa kwenye kila kada nyingine
Sio uvumilivu boss ni kukosa namna tu na umaskini.Hata ombi la kuhama kwenyewe kutoka shule/wilaya moja kwenda shule/wilaya nyingine ndani ya mkoa huo huo mmoja ni kwa mbinde sana. Wapitishaji wa maombi hayo uwabania sana tena kwa makusudi kabisa. Walimu pamoja na kwamba kuna watu wanawabeza lakini kwa yale mateso wanayopitia katika nchi hii kwa hakika wanastahili heshima na pongezi kwa uvumilivu walionao.
Ndio.Kuna mwalimu asiyechini ya halmashauri?
Heshima wanapewa na wanafunzi ninyi wapeni pesa.Wanastahil heshima zao tuwe wakwel kabisaa.
Aitolee wapi ? Labla ainye... Wengi huishia milioni 100+Hivi mkuu mwalimu aliyeanza kazi mwaka huu mpaka anastaafu miaka 30 ijayo anaweza kupata mafao mil 200 kweli
Imeisha.Vp wa degree?
Ualimu sio AJIRA.Ushauri kiuhalisia hauko practical na haiwezekan ikawa hivyo kwamba kila mtu akimbie huko.No way
Petty jobs in a country like Tanzania it's more than a punishment.Katika nchi hii nimejifunza kuwaheshimu zaidi walimu hasa wa shule za msingi na pia wote wenye petty jobs. Mungu awasaidie.
Mkuu mara kadhaa nimekua nasoma jumbe na thread zako mbali mbali sometimes naingiwa na huruma ya kibinadamu maana hustle nazijua njaa naijua + msotoMpwayungu Mimi natamani ualimu jaman sijaajiriwa na degree yangu hii tangu 2015 hao waalimu wa cheti tuu hapa nyumbani wananidharau na ni ndugu zangu [emoji24][emoji24][emoji24] usiombe najuta hata kusoma
Hicho kitu HAKIPO tena sasa hivi na KIKOKOTOO wanakula mpaka 40+MSina hakika kuhusu jambo hilo mkuu.
Mbona Leo kawasilisha poa sanaa bila matusi.Kuna wakati alifungiwa naona karudi
Yeye kama ualimi haupendi aachie wengine wanaopenda hata vyakula kuna mwingine anapenda hiki kile hapendi
Lakini huyu mwenzetu mleta mada anahitaji tiba ya akili ana dalili za ukichaa.Kitu.kama hukipendi huwezi kuwa kutwa unaongelea hicho tu ni dalili.ya ugonjwa wa akili awahi hospital sio siri na naongea kwa dhati.Hasora ya muda mrefu kwenye kitu.kile kile huzalisha ukichaa
Muda si mrefu atatupa nguo.na kutembea uchi barabarani walio karibu naye wamshauri
Nashangaa watu wanao sifia kazi ya UALIMU humu ndani halafu kwenye ukoo wao hakuna mwalimu hata mmoja, hakuna mtu mwenye uwezo wa kujisomesha chuo halafu akasomea Ualimu.Ualimu ni kazi flani hivi ya hovyo kichizi yan,ukiwa mwalimu kila mtu ni bosi wako mwanakijiji,mwenyekiti wa kamati ya shule,mwenyekiti wa Kijiji,diwani,mwenyekiti wa ccm,wajumbe wa kamati ya shule,mwalimu mkuu,mwalimu wa taaluma, mwenyekiti wa kitongoji,afisa elimu kata,mtendaji wa Kijiji,mtendaji wa kata,diwani,wachungaji na masheikh,afisa elimu wilaya...n.k
Tena usiombe uwe mwalimu wa vijijini ndo balaa kubwa
Umenena vyema. Huko future hakuna kabisa wapo jamaa miaka 20 ni Mwalimu hata PIKIPIKI ya milioni 2 ameshindwa kununua utasema hiyo ni kazi ya kufanya.!!?Nimependa uwasilishaji wako leo, umewasilisha bila kuweka kejeli/matusi.
Alichoandika ni kweli 120% sahihi, kwa kweli kwa tulioingia kwenye kichaka hiki inabidi tufanye juhudi tutoke tukafanye kazi zingine hata kama hazihitaji elimu ya shuleni
Watu ambao hawajaingia kwenye mtego huu (hasa wanaotarajia kuingia mavyuoni) wasijaribu kuingia kwenye hii fani.
Kwa kweli ualimu sio kazi yenye future hata kidogo
Naomba kuwasilisha
Hii kazi niyakipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwez kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Tofauti Ni moja tu. 'MADOKEZO'.kwani tofauti ya walimu na ma afsa maendeleo wa jamii, afsa kilimo, wachumi huko halmashauri ni nini?
mbona scale zao za mshahara ni zilezile, ila anae kandiwa ni ticha tu??
NI kitu gan mkuu, na hiyo check number waipataje sasa kama sio ajira.Ualimu sio AJIRA.
#YNWA
Ni mawazo mkuu na yana kila sababu ya kuheshimiwa na watu woteHeshima wanapewa na wanafunzi ninyi wapeni pesa.
Childish, silly and illogical.Ualimu ni kazi flani hivi ya hovyo kichizi yan,ukiwa mwalimu kila mtu ni bosi wako mwanakijiji,mwenyekiti wa kamati ya shule,mwenyekiti wa Kijiji,diwani,mwenyekiti wa ccm,wajumbe wa kamati ya shule,mwalimu mkuu,mwalimu wa taaluma, mwenyekiti wa kitongoji,afisa elimu kata,mtendaji wa Kijiji,mtendaji wa kata,diwani,wachungaji na masheikh,afisa elimu wilaya...n.k
Tena usiombe uwe mwalimu wa vijijini ndo balaa kubwa
Tatizo ni walezi wananipa pressure wananilinganisha mpaka najiona nimechelewa Yani Kila siku vibonzoMkuu mara kadhaa nimekua nasoma jumbe na thread zako mbali mbali sometimes naingiwa na huruma ya kibinadamu maana hustle nazijua njaa naijua + msoto
NB
Toka kwenye Hilo Gerezani (Psych prison) shukuru Kwa hiyo degree ELIMU iwe ngao ya wew kuweza kupambana kutimiza ndoto zako inatakiwa saivi uwe umesha Anza kuwaza nini unataka maishani usipoteze muda kuwaza ualimu utapoteza muda.,
Wakati anapokea hiyo 40m ya kikokotoo kuna kundi kubwa la wanaoidharau hiyo kazi ya ualimu wanakuwa hawana hata laki moja mfukoni na wala hawana uhakika ni lini wataipata.Hicho kitu HAKIPO tena sasa hivi na KIKOKOTOO wanakula mpaka 40+M