Hii hapa naiwekea laminationMnacomplicate maisha sana!!
Utajiri au kufanikiwa kimaisha ni mind set na sio tu aina ya KAZI unafanya!!
Wenye hela sana na SIO za mawazo ni wanasiasa tu!!
Wengine bila AKILI kichwani na Strong mindset sahau mafanikio maishani!
Kote Kuna pesa isipokuwa ualimu, ualimu ni matope ya chooniSasa kwenye hii nchi sehemu kazi gani upande wa serikali inapesaa mnoo..tukiachana na sekta binafsi na taasisi za umma?
Ualimu ni utumwaHakuna wa kumkomboa mwalimu isipokuwa wao wenyewe, walimu wanaishi maisha ya hovyo punda akasome lakini bado tuu wapo kwenye kazi.
Mimi nawashauri waache kwanza kazi watafute na kupigania ukombozi wa kifkra ili hii kada angalau ifikie heshima hata ya mlinzi WA makaburi ya kisutu.
Mwalimu ukimkoromea tu anaogopa mpaka anajamba, Nina imani hata ukimtisha akupe pesa kama hataki unamfukuza kazi hiyo pesa atatoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ualimu ni laana, kataa ualimuUalimu ni utumwa
Ualimu ni umaskini
Ualimu ni kazi ya walio choka kifikra
Asilimia 78 ya walimu ni maskini wa kutupwa na hawaeleweki Wana njaa mnoo
Lipia tangazo lofer weweView attachment 2810712S
ACHA MAKASIRIKO TEACHER WA GEOGRAPHY
Ualimu ukiwa kijijini umeuwa ndoto zakoNimetoka uraiani ambako nilikuwa na uwezo wa kutengeneza net profit ya milion1.2 kwa mwez ambayo nimekuwa nikiingiza kwa zaidi ya miaka3 mfululizo na biashara yangu bado inauhitaji mkubwa sana, nikaja kwenye ualimu kwa ajili ya mshahara WA lak5 [emoji16][emoji16]
Nimejipa challenge ya miaka mitano kufanya Hii Kazi , kwa sasa Nina miezi 6 kazin tangu niajiriwe , Nina target ndan ya miaka mitano niachane na mambo ya utumish wa serikal nikaendeleze Nguvu kwenye ujasiriamali kama tu nitabakia kuwa Mwalimu WA kuingia darasani kufundisha, [emoji120][emoji120]
Kifupi Hii Kazi sio hasa ukiwa unafanya kijijn
Lipia tangazo lofer wewe
Omba uhamisho kijanaNimetoka uraiani ambako nilikuwa na uwezo wa kutengeneza net profit ya milion1.2 kwa mwez ambayo nimekuwa nikiingiza kwa zaidi ya miaka3 mfululizo na biashara yangu bado inauhitaji mkubwa sana, nikaja kwenye ualimu kwa ajili ya mshahara WA lak5 [emoji16][emoji16]
Nimejipa challenge ya miaka mitano kufanya Hii Kazi , kwa sasa Nina miezi 6 kazin tangu niajiriwe , Nina target ndan ya miaka mitano niachane na mambo ya utumish wa serikal nikaendeleze Nguvu kwenye ujasiriamali kama tu nitabakia kuwa Mwalimu WA kuingia darasani kufundisha, [emoji120][emoji120]
Kifupi Hii Kazi sio hasa ukiwa unafanya kijijn
sio ualimu tuHii kazi ni ya kipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwezi kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Umeongea ukweli mno mkuu. Wewe fikiria hakuna hata mtumishi mmoja aliyewahi kuomba recategorization kuwa mwaliimu. Ualimu hamna kitu aisee!!Hii kazi ni ya kipweke sana, unakuwa mnyonge popote ulipo maana huna nguvu ya pesa kwahiyo huwezi kufanya chochote kwenye watu wengi. Hii kazi inahitaji moyo wa chuma
Haina allowance yoyote ileeee, hata kuhama tu ni bure ukibahatika kupewa pesa basi ni laki tano au million moja. Walimu wanaishi ili wasife tu ila hawana future yoyote ileeee
Poleni sana walimu
Haizidi laki TatuMwenye kujua range ya mishahara ya walimu wa sek na msingi aweke hapa tuone kama mpwayungu anasema kweli au vipi
Wafungwa ni wa MagerezaKibaya zaidi hadi wanafunzi wanapewa ukubwa wasiostahili,
Angalia lile tangazo la haki elimu, wanafunzi wanapewa airtime eti washiriki kwenye vikao vya bodi
Sasa mtu amesoma hadi university halafu akae na mtoto wa form one au four kwenye kikao cha bodi si upumbavu huo
Maana yake walimu pamoja na kusoma hawaaminiki
Mbona vikao vya madaktari hawakai na wagonjwa?
Polisi mbona hawakai na wafungwa?
Uzi ufungweKuwa mwalimu siyo kosa ila kila mtu pale alipo kwenye kazi anayofanya asiridhike kubaki nafasi hiyo hiyo tunatakiwa tufanye juhudi ndogo ndogo za kila siku ambazo siku moja zitatuweka nafasi nzuri nzuri zaid.
Hakuna kazi mbaya , kazi ni mbaya ukiwa nayo tu ila nje kuna watu wanatamani kuwa hapo ulipo.
Cha msingi kazi hiyo unayoiona ni mbaya itumie kama ngazi ya kupanda hatua nyingine iliyo bora zaid.
Tofauti ipo kubwakwani tofauti ya walimu na ma afsa maendeleo wa jamii, afsa kilimo, wachumi huko halmashauri ni nini?
mbona scale zao za mshahara ni zilezile, ila anae kandiwa ni ticha tu??