Oya [emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwalimu gani anywe bilima kwa mshahara upi? Ukiona mwalimu kashikilia chupa kubwa ya maji ujue katoka semina, 90% ya waalimu wana mikopo ya kauusha damu au ya benki mwalimu mpaka anasitaafu hajawahi kupokea mshahara wake kamiri.........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Inaonyesha ulipata zile Tsh 50m ulizosema ukipewa unatoa kinyeo. Au uliolewa kabisa?
 
Hakuna watu wa ovyo kama walevi. Maisha ya kushinda unasikiliza miziki ya kilevi na kishetani ndo anaona ni maisha. Akiwa anatazama matako ya akina dada na miguu Yao anaona amefika kabisaa humwambii kitu. Sasa omba apate pesa ya kununua kigari kitachomeezesha kwenda vilabuni ndo najiona maisha ameyapatia. Na mitumbo Yao mikubwa, sura zimevimba, hata nguvu za kiume hayana. Yalichobakiza ni ushabiki wa mpira na kubet na kuunguza maini na mipombe na sura kuzeeka.

Mijitu Haina Cha faida mbali na kuhonga pesa. Haina chochote Cha kuigwa na jamii kilicho positive.

Watu wako busy ku train watoto mashukeni na kuwafunza maadili unawakebehi. Hao ndo wanaotengeneza professional zote unazoziona zenye tija kwenye jamii kama madaktari, wanasayansi, wataalamu wa mifumo ya maji na miundo mbinu.
 
Asiye na akili ni mama yako aliyekutoa kwenye nanihiiii...

Mods msinionee kwa ajili ya huyu kenge. Mniache tu nilale naye mbele maana yeye ndo kaanzisha matusi.
Kwanza hawq mods wenyewe maandazi sana. Nimemkemea huyo kenge wamefuta nyuzi zangu.
 
Ukweli ndio huo, mshahara wanaopewa hawa viumbe Kwa kweli huwa nawaza wanaishije Kwa sababu hata ukisema ujibane vipi hautoshi. Ajabu hizi njemba zinadunda tu khaaa [emoji28][emoji28][emoji28]

Mwalimu tangu aanze kazi mshahara haijawahi kukutana kwenye account, ukitoka tar 22 mpe siku tano mbele baada ya hapo anaanza kuishi Kwa kuunga Unga

Maisha Yao niyamajuto, kuperekeshwa, kudharauliwa na kupuuzwa kama nguruwe. Sasa hawa ni binadamu au mizoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787], yani jamii nzima inawaona ni viumbe wa ajabu sana unaweza vp kuishi Kwa mshahara wa barmaid na ukadunda.

Walimu wanatia aibu vibaya mno, sijui tuwaweke kwenye kundi gani maana hata tukiwagroup kwenye kundi la wanyamapori naona bado tunawapendelea tu hawana sifa hizo, wao wamezidi
 
Mshahara unatosha sana, ila inategemeana na unafanya kazi wapi..

Marekani na nchi zinazojali raia zao huwa wanaweka viwango vya mishahara kulingana na gharama za maisha za jimbo au mkoa husika..

Mfano pale Marekani, mshahara wa mtu anayefanya kazi New York haufanani na anayefanya kazi Alabama.
 
Kwa walimu wa bongo naona kunguni ana maisha mazuri kuliko wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…