Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #161
Wanajamii Naomba muweke wazi namuwaambie Kwa staha kabisa hawa kipi haswa wafanye ili bajeti Yao ya maisha iendane na mshahara wao maana Leo wakipata hesabu siku Sita mbele utakuta wamebaki na maboringo tu hawana hata sumuni.