Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #401
Ipo hivyo!Ngoja tuone kiwango cha uvumilivu wake tutajua tu mbovu ipi na mbichi ipi..maisha mtaani inahitaji ujasiri kuyaishi[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo hivyo!Ngoja tuone kiwango cha uvumilivu wake tutajua tu mbovu ipi na mbichi ipi..maisha mtaani inahitaji ujasiri kuyaishi[emoji28]
UhuruKariakoo upo mtaa ipi mkuu,nipe jina nitume watu hapo kesho waje waverify
Unasema napenda ualimu then una oppose [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Old saying “if you hate something you still care for it”
“Hatred is driven by two key emotions of love and aggressions“
Ndugu yangu ualimu wewe unaupenda ndio maana unauchukia
Be specific duka lako limeandikwaje,kama Lina namba we sema!?Uhuru
Mbona unaongeza maswali? Umetaka nitaje mtaa tena unasema niwe specific for what??? Au uliuliza kuhusu biashara??Be specific duka lako limeandikwaje,kama Lina namba we sema!?
To be precise,unauza nini mkuu!?
Aahaaaaa,sawa usinikimbie kama kweli upo KariakooMbona unaongeza maswali? Umetaka nitaje mtaa tena unasema niwe specific for what??? Au uliuliza kuhusu biashara??
Ataachaje kazi wakati hana kaziMkuu, unataka uache kazi..?😂😂🙌🏿
Tuendelee kula Kodi ya Mpwayungu Village ,enjoy maisha ukipata muda karibu TanganyikaSiwezi kuacha kazi ya UALIMU , UALIMU UKO KWENYE DAMU.
Asante sana Mwl…Tuendelee kula Kodi ya Mpwayungu Village ,enjoy maisha ukipata muda karibu Tanganyika
Huyo ni mwambaaMm Nina Ndugu yangu aliacha Ualimu akaenda Kuwa Mchungaji kwa sababu ya wito.
Mwingine alimaliza mwaka 2015 Course ya Ualimu hizi ajira za juzi alijaribu kuomba kama kimasihara akashangaa wamempa ajira ila aligoma kuripot kazini mpaka saiv yupo na mishe zake
PamojaAsante sana Mwl…
Hilo ni pepo, jumapili nenda Kwa mwamposaSiwezi kuacha kazi ya UALIMU , UALIMU UKO KWENYE DAMU.
Kodi Yako tunaitumbua Kwa Raha zetu,lipa Kodi,sawa dogoHilo ni pepo, jumapili nenda Kwa mwamposa
Vitu ambavyo hii kazi imenipa siwezi hata kukusimulia maana hutaelewa hii kazi ni Kazi ya MUNGU ni kama utume , unabeba maisha ya watu wengi sana ukiifanya kwa moyo BARAKA TELE…Hilo ni pepo, jumapili nenda Kwa mwamposa
Huyo ni reject,system ilimtema,hivyo ana bifu na Serikali na walimuVitu ambavyo hii kazi imenipa siwezi hata kukusimulia maana hutaelewa hii kazi ni Kazi ya MUNGU ni kama utume , unabeba maisha ya watu wengi sana ukiifanya kwa moyo BARAKA TELE…
Mwamposa anatakiwa aje kwangu sio mimi niende kwa MwamposaHilo ni pepo, jumapili nenda Kwa mwamposa
Ndio yule msukuma aliefungwa na JPM. Anaetupia tupia vinyimbo.Ban imeisha!!
Karibu ticha jimmy.