Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Pole sana kwa matusi uliyopokea humu mtu wa Mwanza na uhakika hautarudia tena kumkandia Mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo mlizoeshwa mazingaombwe ya pawa Mabula
 
Acha ajenge nchi
 
Hajui huyo ma vieti 60 mpk 80 yanakula lita ngap dar mpk mwanza hapo kuna mapapa ndani yake ...
 
mnaleta ushabiki mbuzi mpaka ktk mambo serious ya kitaifa.
 
WEWE NI MCHOYO, UNA ROHO MBAYA NA AKILI MBOVU
Mama alikuja Mwanza kwenye sherehe ya wafanyakazi- wasi wafanyakazi sherehe hiyo haikuwahusu- uwe meuelewa.
Kwanza mkabila eti mwanza kila siku magu huku kwetu mtwara amekuja mara 2 ndani ya miaka 6 kila siku alikuwa akienda kwao utadhani anaenda kuchunga mbuzi wasukuma punguzen ukabila ndama nyie
 
Pole sana kwa matusi uliyopokea humu mtu wa Mwanza na uhakika hautarudia tena kumkandia Mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sioni kama kamponda mama nimeona amesema tu ukweli kwamba rais ni lazima awe karibu na watu wake ajue shida zao........mara moja moja atembee na gari aongee na wananchi wake bana....
 
Du!
 
Sasa kama nyie hakuna mtu watu wenu watz, wenye mitaji,waliojitokeza kuwekeza kuchakata hiyo gesi na kufeed viwanda vyenu, basi acheni iuzwe kwa wenye uwezo ili serikali ipate pesa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake...simple...
 
Viongozi wenye fikra mufilisi, wenye maono na upeo mdogo juu ya masuala ya kimataifa siku zote hutafuta visingizio visivyokuwa na mashiko pale wanaposhindwa kuziona ama kutumia fursa za kiuchumi za kimataifa. Huishia tu kulalama na kutumia maneno ya kukwamishwa kimaendeleo na mabeberu na vibaraka wao.

Viongozi ama watu wenye fikra hizi bado wapo ndani ya mning'inio wa kijamaa, na kukosa kabisa uelewa wa uchumi wa soko huru uliotamalaki ulimwernguni kote. Nchi yetu inahitaji kupambana kiuchumi na wala siyo kutafuta visingizio vya kukwepa kushindana kiuchumi na nchi jirani hasa zile ambazo tunahisi zipo juu yetu.
 
Exactly,
 
Bashiru, polepole,Kessy,nkamia,bongo flavor,waunga juhudi, malaya wa kisiasa,masanja mkandamizaji,musiba, wanyonge.Hawa watu waliozoea kusafisha mikojo ya dikteta Ili kulinda tumbo wanapata tabu Sana zama hizi.
Kumi tena kwa mama.
 
True tusiwape tena nafasi hawa wajamaa wenye mtindio wa kufiri kurudi nyuma.
 
We veronica france kweli hamnazo yaani unamshauri mama aanze maigizo ya jiwe na kuleta hasara kwa kutumia ma viiieeeiiiteee,

Hahaha subilini parapanda ipige afufuke muendeleze drama zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…