Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kutoa EFD ni kodi ya wizi ?
Hakuna kada ambayo Tz ni wezi wa kodi kama wafanyabiashara, mtu anayapata faida zaidi ya 100m kwa mwaka anataka kulipa TRA 5m, hii ni sawa na 5% tu wakati mfanyakazi mwenye mshahara huo atapiga almost 30% kama PAYE, wafanyabiashara Tz ni wezi wa kodi.
Mnajaza matumbo yenu tu,
Mmefaidika sana na wizi wa awamu iliyopita.
Tutaanza kuhamasishana tupige picha za majumba mkiyojenga kwa fadha za wizi huko nje ya mji.
 
"Pia gesi inatumika kutengezea petroli hii hii ya kwenye magari" Tafadhali naomba ufafanuzi hapo, Ubarikiwe
 
Tengeneza proposal mkuu, lakini mbona hata gesi majumbani haitoshelezi au nyumbani kwangu tu ndiyo haitoshi, pia bei ipo juu kama nini?
 
"Pia gesi inatumika kutengezea petroli hii hii ya kwenye magari" Tafadhali naomba ufafanuzi hapo, Ubarikiwe
Nitaandika uzi mwingine wa NATURAL GAS UTULIZATION MASTER PLAN ambao utaelezea jinsi ambavyo gesi inatumika kutengeneza petroli.

Ila kwa kifupi tu.
Gesi asilia ina kaboni moja kama unavyoweza kuona kwenye hii fomula yake (CH4). Petroli inaundwa kwa kampaundi zenye kaboni kuanzia 5 hadi kabon 12. Kwa hiyo kinachofanyika hapo ni kuongeza idadi ya kabon kwenye hiyo gesi ili tutengeneze kampound zenye kabon kuanzia 5 hadi 12. Hapo tutakacho kifanya ni tunaibadirisha hiyo natural gesi yetu (CH4) ambapo tunaipiga na mvuke wa maji katika uwepo wa joto, presha, na catalyst ili itupe hydrogen na kaboni monoxide. Baada ya hapo hydrogen na kabonmonoxide zitaungana tena kutupa methanol moja kwa moja methanol itabadirishwa kuwa petrol kwa kutumia catalyst. Baada ya hapo petrol itakua tayari.
 
"Pia gesi inatumika kutengezea petroli hii hii ya kwenye magari" Tafadhali naomba ufafanuzi hapo, Ubarikiwe
Kuna natural gas utilization plan ya 2016 hadi 2045 imezungumza kila kitu. Hayo yote nayo yaeleza yamo kwenye hiyo plan mkuu.
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
 
Usafiri wa Ndege kwa Mh. Rais ni Bora na unaokoa fedha nyingi kuliko kama akituma gari.

Msafara wa Rais huambatana na Magari mengi ambayo huhitaji mafuta, Malipo kwa wanaokua kwenye msafara alafu unasababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa Barabara, kupoteza muda ni kwingi, na foleni zisizo na ulazima.

Safari ambayo angetumia saa moja kwa Ndege atatumia Masaa 4/5 Kwa Gari.

Jambo litakalochosha Mwili wa Mh. Rais pia muda wakufanya Majukumu mengine muhimu utapotea bila sababu za msingi.
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
We msukuma unatapatapa sana, enzi zenu zishaisha , nendeni mkalinde kaburi la mungu wenu chatttle
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Wapumbavu bado mpo JF!!???
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Sukuma Gang at work
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Kwanini wanaccm wanaomlalamikia mama wanatoka kanda ya ziwa tu ?
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
hujui mahesabu,kutembea na msafara wa Vieite zaidi ya kumi umbali wa km 200 ni hasara maradufu kuliko kutumia ndege
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
1620221351235_adobe.jpg
 
Hawataki na wala hawapendi kuona demokrasia inarejea Tanzania. Juhudi zote anazofanya mweshimiwa rais za kurudisha ustawi wa taifa kwa kufungua tena ushirikiano na mataifa rafiki juhudi hizi zinawakera.

Hawa ni wahafidhina, na maamuma tu. Wengi wao hawajui kabisa mwenendo wa dunia katika karne hizi. Dunia ya sasa inaimba wimbo wa uchumi wa soko, demokrasia na maendeleo ya watu.

Mahafidhina hawa wanachoamini ni kuwa kiongozi bora ni yule anayeminya uhuru wa habari, demokrasia, kutokuwa na mahusiano bora na majirani, au kuwaita wazungu kuwa ni mabeberu.
 
Back
Top Bottom