Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
unaropoka weeweeWhatever worse she might be. There is no way atakuwa one term.
Hata akitaka kufia madarakani, inawezekana.
Msijipe moyo sana ili kujidanganya kisaikolojia. Get to your senses and face the truth.
Huna akili.unaropoka weewee
Ni cursed one term president kwa sababu huko CCM hakuna anaemtaka achilia mbali mfumo dume uliopo!Whatever worse she might be. There is no way atakuwa one term.
Hata akitaka kufia madarakani, inawezekana.
Msijipe moyo sana ili kujidanganya kisaikolojia. Get to your senses and face the truth.
Wasukuma washmba Sana ..washmba mnoo,,N
Ndugu wasukuma ndio wanaoamua nani awe Rais wa
There is no CCM. Kuna Dola.Ni cursed one term president kwa sababu huko CCM hakuna anaemtaka achilia mbali mfumo dume uliopo!
Wasukuma washmba Sana ..washmba mnoo,,
Mbona alivyokua ndugu yao madarakani wote tulitii mamlaka na tulimkubali kua yule ndo rais wetu pamoja na mapungufu yake yote,,
Why wao walete chokochoko hivi hawataki kukubali kua Zama zimebadilika na watii mamlaka .
Washamba Sana wasukuma.
I repeat it washamba mnoo.
Na huyu mama tutamtetea hata akibolonga sababu ya ushamba wanaonesha
Hata baba ako mbona ni mizoga tuHuna akili.
Nikutumie maiti ya Magu utundike ukutani ?
Wacheni shobo za kijinga nyinyiHakika tumuombee sana huyu mama, ukimtazama usoni utaona ni kiasi gani yupo na mtihani mbele yake
Unategemea nini au mawazo gani kutoka kwa team sukuma gang kwenda kwa mama Samia?Hiyo picha ina shida gani hadi umuhurumie? Duh.
jidanganye hivyo hivyoN
Ndugu wasukuma ndio wanaoamua nani awe Rais wa nchi
Pumbaf sana wewe mnyarwandaN
Ndugu wasukuma ndio wanaoamua nani awe Rais wa nchi
Ananuka machozi ya watu walio waumizaHuyu ni kati ya wale ambao bado wanasumbuliwa na kivuli cha mwenda zake. Hii furaha nchi iliyo nayo inamuumiza sana.
Mbona umeandika mambo ya ajabuajabu!Unahitaji PhD gani ili ujue kuwa dola ni CCM?!There is no CCM. Kuna Dola.
CCM inaihitaji zaidi Dola kuliko Dola inaihitaji CCM.
Hivi stori za huko CCM hawamtaki mmezianza hata kabla hajapewa Uenyekiti, mwishowe akapata kura 100%.
Mtaishi kwa kudanganya nafsi zenu mpaka lini?
Unasema CCM,
Je, CCM ndio waliomfutia keso Nusrat Hanje ?
CCM ndio waliopora uchaguzi nchi nzima ?
Wale waloomtishia Zitto kumuua bungeni ni CCM ?
SABAYA akiyemtesa Mbowe Hai mpaka kumpora jimbo ni CCM ?
NEC waliofeki majina kupeleka bungeni ni CCM ?
Vizuri. Sasa unakubali CCM=Dola.Mbona umeandika mambo ya ajabuajabu!Unahitaji PhD gani ili ujue kuwa dola ni CCM?!
Unahitaji PhD kujua kuwa NEC ni CCM?Unahitaji PhD kujua kuwa Sabaya ni CCM?Unahitaji PhD gani ili ujue kuwa CCM ndiyo walipora uchaguzi nchi nzima?Unahitaji kuwa profesa ili ujue kuwa dola ni CCM?
View attachment 1779797
Sijasema kuwa CCM=dola bali nimesema kuwa dola=CCMVizuri. Sasa unakubali CCM=Dola.
Na Dola ndio Samia jwa sasa.
Sasa utasemaje tena CCM haimtaki Samia?
Unafikiri sawasawa kweli wewe!