Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Awamu ya tano tulikuwa na shujaa wa Afrika, tulikuwa mstari wa mbele katika vita ya kiuchumi dhidi ya mabeberu
Nipe definition ya shujaa wa Africa, na anatakiwa awe na vigezo gan mpaka apewe jina la shujaa wa Africa
 
Hapana yupo sahihi maana utawala wa sheria huanza kwanza kwa kusema na kuonya na baadae kiongozi anachukua hatua kama akiona hubadiliki.
Tuliposifiwa kuwa na utawala bora kipindi cha Mkwere,wote tulijua nini kinaendelea mtaani na serikalini. Sijui kwanini huwa ni rahisi kwa wenye madarasa mengi kichwani kugeuzwa kugeuzwa na kupoteza kabisa maarifa asilia.
 
Tuliposifiwa kuwa na utawala bora kipindi cha Mkwere,wote tulijua nini kinaendelea mtaani na serikalini. Sijui kwanini huwa ni rahisi kwa wenye madarasa mengi kichwani kugeuzwa kugeuzwa na kupoteza kabisa maarifa asilia.
JK pamoja na madhaifu yake lakini kazi yake inaonekana mpaka leo na hakuhitaji promotion kama mwendazake
 
Hata Vidonge vya Presha vimekosa Wateja sio yule Chizi alikuwa anatembeza Watu vifua mbele huku wananjaa.
 
... common sense inakuambia ujenge kila kitu kwenu, wazungu uwaite mabeberu na ujiandae na vita na vibaraka wao, manyang'au wa Kenya!
 
Kwa vipimo vyovyote, common or uncommon, SSH anafaa na atatufikisha pazuri zaidi kuliko yule mu-imla.
 
Hivi mama samia aligombea uongozi wa uraisi?! Kama hakuugombea mbona nyie baadhi ya raia mnatumia neno awamu ya 6?!

Huyu mama ni Kaimu Raisi na si raisi kamili. Awamu aliyopo ni ya kukaimu si ya kupewa mamlaka kwa matokeo matokeo ya tume ya uchaguzi.
 

Iyo no 5 sio SSH rais tu bali hata ambaye anaweza kumfuata Kama Rais 2025 bila kujali anatoka chama gani ,ikitokea akatekeleza mpango huo , Basi ajiandae na lahana ambayo haiwezi kukoma kwake binafsi ,mh rais SSH usidhubutu kutekeleza mpango wa kurudisha serikali Dar ,wanaosema haya hawakutakii mema, kwanza wengi wanawaza anasa zao sio tz ya kesho ,so ukisikia kiongonzi wako anashabikia fukuzia mbali
 
Sio ss tuu hata wao na Rais wanasema awamu ya sita. Sasa cjaelewa kati ya ww na Rais na wastaafu nan ajua zaid mamb ya protocol
 
Ndio hayo hatuyajui kwa kuwa hatua stahiki hazikufuatwa! Bado ni experimental 'vaccine' ambayo imeshafeli kukinga mafua menyewe hayo! Inaweza pia ikawarudisha porini na kuwa waporipori! Haya yote ni mapema mno kuyajua...ndio maana ni ujuha kushupalia kuchanjwa😡!
 
Wanasayansi mnatumika tu na mabwana zenu. Tanzania tuna tatizo kubwa kiasi kuwazidi waliochanjwa? Kuna haja gani ya chanjo wakati waliochanjwa hali inazidi kuwa mbaya kuliko sisi tusiochanjwa?
Waambie na ww hao wanasayansi uchwara 😡!
 
1. Asiikubali chanjo ya korona, maana wenyewe wahindi haiwasaidii, wasitufanye wa majaribio hasa ukizingatia sisi hiyo CORONA haijatuathiri kiwango hiko kulinganisha na waliotengeneza chanjo

2. Mh Rais, ukianza ziara zako za kikazi, tunaomba uanze na mkoa wa Lindi na Mtwara🤸

3. Ondoa wakuu wa wilaya wasio na sifa hasa wale wapandisha mabega😁

4. Tunaomba maneno yako ktk hotuba yaende na vitendo na ufuatiliaji

ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…