Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Sisi wazawa wa nchi hii tunajua kuwa dhalim aliiharibu nchi na Mama anairudisha nchi kwenye mstari. Tanzania kwanza vyama baadae. Asiyetaka Watanzania kuwa kitu kimoja asage sumu anywe afe.
 
Habari wanabodi..!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu .Jana kwenye mkutano wa viongozi wa CCM na waandishi wa habari moja ya swali lililoulizwa na mwandishi wa habari ni kwamba,je kama CCM wapo pamoja?

Kiukweli ni swali ambalo unaweza ukaona la kizushi lakini mwenye kuuliza swali sio mjinga ,inawezekana kuna kitu amekiona ndani ya Chama cha Mapinduzi hakipo sawa.

Ila bila shaka Mh Daniel Chongolo alilijibu kama ilivyotakiwa kujibu kwamba tupo sawa kabisa .

Ila kwa maoni yangu binafsi naona kama ndani ya CCM kumeibuka waumini wa imani au nadharia mbili kuna wale waliokuwa wanaamini nadharia ya Hayati JPM na kuna wale walio amua kubadilika na kukubaliana na nadharia mpya ya uongozi ya mheshimiwa Samia Hassani.

Hawa wanaoshikiria nadharia ya JPM ndio wale waliogoma kumzika JPM katika mioyo yao,hivyo basi mwenyekiti wa chama,Shaka,Chongolo wanatakiwa wajipe assignment ya kuhakikisha kwamba wanaishi katika kivuli na maono ya JPM kwa sana kuendeleza yale yalio mazuri ili wale ambao hawaja mzika hayati JPM kwenye mioyo yao waendelee kuona kama bado JPM yupo madarakani mpaka pale atakapozikwa.Maana hawa ambao bado hawajamzika JPM mioyoni mwao ndio wale wanaoamini JPM bado ni rais wa JMT.

Sijuhia naeleweka hapa kweli,kam haujaelewa bora tu utulie maana uta mix madesa?
Shaka hawezi kuyaishi maono ya Magufuli maana JPM alikwishamuweka kando kwa mambo yake ya kutoa RUSHWA kwenye uchaguzi ndani ya CCM. Anachokifanya mama kwa sasa ni kupingana na Itikadi ya JPM ndo maana unaona anawarudisha akina Shaka, kimsingi nchi iko shaghalabagala
 
Huyu mama akitaka kutawala vizuri akisimamie chama, kuongoza chama sio jambo rahisi kuna watu wanakuchekea, wanakupamba ukiondoka huku nyuma wanafanya yao nq hiyo ndio njia pekee ya kuongoza nchi
 
Habari wanabodi..!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu .Jana kwenye mkutano wa viongozi wa CCM na waandishi wa habari moja ya swali lililoulizwa na mwandishi wa habari ni kwamba,je kama CCM wapo pamoja?

Kiukweli ni swali ambalo unaweza ukaona la kizushi lakini mwenye kuuliza swali sio mjinga ,inawezekana kuna kitu amekiona ndani ya Chama cha Mapinduzi hakipo sawa.

Ila bila shaka Mh Daniel Chongolo alilijibu kama ilivyotakiwa kujibu kwamba tupo sawa kabisa .

Ila kwa maoni yangu binafsi naona kama ndani ya CCM kumeibuka waumini wa imani au nadharia mbili kuna wale waliokuwa wanaamini nadharia ya Hayati JPM na kuna wale walio amua kubadilika na kukubaliana na nadharia mpya ya uongozi ya mheshimiwa Samia Hassani.

Hawa wanaoshikiria nadharia ya JPM ndio wale waliogoma kumzika JPM katika mioyo yao,hivyo basi mwenyekiti wa chama,Shaka,Chongolo wanatakiwa wajipe assignment ya kuhakikisha kwamba wanaishi katika kivuli na maono ya JPM kwa sana kuendeleza yale yalio mazuri ili wale ambao hawaja mzika hayati JPM kwenye mioyo yao waendelee kuona kama bado JPM yupo madarakani mpaka pale atakapozikwa.Maana hawa ambao bado hawajamzika JPM mioyoni mwao ndio wale wanaoamini JPM bado ni rais wa JMT.

Sijuhia naeleweka hapa kweli,kam haujaelewa bora tu utulie maana uta mix madesa?
Kujenga chama ni kuwaongoza wananchi kwa uadilifu bila ubaguzi, baadae automatically chama kitajengeka acha uccm kipindi hichi
 
Asalaam aleykum Mama!

Mama kifupi mtaani njaa ni Kali binafsi hata hela ya kula Sina biashara sipati wateja wakikopa hawalipi.

Mama, tafuta washauri mshauriane namna ya kulegeza kidogo, maana haiwezekana wanaodaiwa washindwe kulipa na kila unamuomba hela akuazime hana.

Mama ndoa zipo matatani okoa wanawake wenzako, ada azilipiki, hospital hapaendeki, mikopo hailipiki.... Yaan hatujui tufanye nini ila kiukweli twafaaaaaaaaaaaaa😫😫😫😫😫
 
Asalaam aleykum Mama!

Mama kifupi mtaani njaa ni Kali binafsi hata hela ya kula Sina biashara sipati wateja wakikopa hawalipi.

Mama, tafuta washauri mshauriane namna ya kulegeza kidogo, maana haiwezekana wanaodaiwa washindwe kulipa na kila unamuomba hela akuazime hana.

Mama ndoa zipo matatani okoa wanawake wenzako, ada azilipiki, hospital hapaendeki, mikopo hailipiki.... Yaan hatujui tufanye nini ila kiukweli twafaaaaaaaaaaaaa[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Subiri mambo yanawekwa sawa.. July mzigo wa maana super kabisa unamwaga mtaani
 
Asalaam aleykum Mama!

Mama kifupi mtaani njaa ni Kali binafsi hata hela ya kula Sina biashara sipati wateja wakikopa hawalipi.

Mama, tafuta washauri mshauriane namna ya kulegeza kidogo, maana haiwezekana wanaodaiwa washindwe kulipa na kila unamuomba hela akuazime hana.

Mama ndoa zipo matatani okoa wanawake wenzako, ada azilipiki, hospital hapaendeki, mikopo hailipiki.... Yaan hatujui tufanye nini ila kiukweli twafaaaaaaaaaaaaa[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Ugonjwa unapo kuingia kutoka ni mdogo mdogo
 
July wap na anasema uchumi umeshuka?? Tulifarijika jiwe hayupo mambo yata change haraka kumbe effect ni kuubwa
Hhahaaaaa
Wademkaji walijua JPM akiondoka fedha itaokotwa mtaaani imezagaaa. Ngoja tuisome namba mpaka akili ikae mahala pake. Kazi Iendelee
 
Back
Top Bottom