Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ikiwa hao unsowaita genge au kikundi cha watu wachache ni wachafu, haimaanishi wasichukuliwe hatua lakini pia haimuondolei huyo jamaa tuhuma na dhuluma alizofanya.

Sisi tunachotaka haki itendeke na kilavmmoja apokee ujira wa kazi yake.
nilichojifunza katika utumishi. unaweza kuqa the best ofisini kiasi kwamba ofice ikaona bila ww mambo hayaendi, lakin kitakacho kuharibia sifa kama hizo ni kiburi,jeuri, dharau.. kiujumla weakness zako.

lazima ujue ku balance btn work efficient yako na tabia zako. otherwise tabia zako zita overshadow your performance kiasi kwamba utashangaa unafanya kazi kwa bidii lakin unaonekana hamna kitu.
 
Good observation
 
Hahaaaa!!!yaani DC anakwenda kwenye kiwanda anakifunga kuwa eti hakijasajiriwa, baada ya muda zinajitokeza taasisi husika na mambo hayo hadharani na kusema yule mfanya biashara ana vibali vyote na kodi zote za serikali analipa kama kawaida!!hapo nani mjinga?
 
Kwa sasa,urais ni taasisi.
Subiri uchunguzi ukamilike.
 

Punguani wahed
 
Nachoona unatafutabnamna ya kumsafisha ndio maana unang'ata huku unapuliza Yani umeandika as if humu hadhira yako ni mataahira.

Ameondolewa kazini sababu ya tuhuma mbalimbali ikiwemo kukiuka miiko ya kazi, hii ni sababu yosha kwa yeye kutimuliwa huwa haijalishi umetenda mangapi mazuri inapotokea kosa moja umelitenda.

Ataadhibiwa kwa kosa sio kwa mazuri maana tulimtarajia atende mazuri na adhabu zipo kwa wakosaji tu so nakutakia heri na fanaka kwenye kuamini ukweli kwamba your guy is as good as dead.

Instead ya kuendelea kutapatapa namna hii, afikirie namna ya kuingia ulingoni 2025 maana kwa sasa hatarudi kabisa kwenye ukuu wa wilaya na kwenye chama nafasi zinazidi kuzibwa heri ajikite huko ili awe relevant by 2025 akapambane na kina Nassari kule arumeru kama ataweza.
 
Ukiiona report ya TISS wenzake hutaamini bora uachane nae....aneharibu big time hasafishiki bora utafute cha kufanya...huyo aombe tu asipandishwe court akiwa free aende zake Kenya 3 yrs akirudi ale hela haramu alizochuma......afunge mdomo milele
 
Huyu sabaya ni mtu wa kurudishwa kazini mara moja. Mama akimtema atatuthibitishia mashaka yetu kwamba yeye na magufuli sio kitu kimoja. Vitendo ndio muhimu sio kauli.
 
Hjaona clip nyingine zaidi ya hizo?
Kama wewe sii Sabaya, basi wewe ni mmoja kati ya majbazi wenzake.
 
We ni mjinga na ujinga sio tusi
 
Sabaya ni mfano mzuri sana wa uongozi mbaya.
Hana uadilifu na sii wakuigwa na jamii ya wapenda haki. Hivyo tu.
 
Jiwe alikuwa anasema anajua siri zote kwenye nchi, amini hata huyu aliyepo anajua kila kitu.
 
K. Mako wewe ulitaka mpaka akufir..... Ndio ujue hafai
 
Kazi ya kutafuta wakwepa Kodi inafanywa na mkuu wa wilaya au TRA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…