Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ndiyo maana nimesema unakunywa gongo, kwani hujui likitolewa tamko kuzuia mwenge kwa sababu ya mikusanyiko,tamko hilo litaenda sambamba na zuio la shughuli nyinginezo zinazohusisha mikusanyiko mikubwa.Sijui huko shuleni mlienda kusomea nini.

unajua washafanya mikutano mingap? ama ndo umeshalewa tusubirie umalizane na hangover
 
Rais tumempata hana makanodo kando ya wizi na ufisadi, Ana hofu ya Mungu, mcheshi, Mkalimu na muwazi.

Rais ambaye hajawai kupata kashifa yeyote

Matatizo madogo madogo ayarekebishe

Atakuwa Rais bora mwanamke mwamba wa africa.

Tuletee katiba mpya

Tuletee tume huru ya uchaguzi

Tuletee utawala wa haki na sheria

Tuletee chanjo ya corona wazee wetu wenye hofu na corona wachanjwe.

Wakamate wale wote waliotaka kuvuruka amani ya nchi kwa kuteka na kupoteza watu.

Tenganisha siasa na biashara

Tenganisha JWTZ na CCM.

Ukifanya haya utakuwa rais bora wa muda wote.

Viva Samia Viva Tanzania.
 
Lissu mabeberu hawajambo huko?
utarudi lini maana mwendazake hutanaye tena.Unamsifia mama ili utimize ndoto zako?

Ni ngumu kaka sawa na kuulazisha mkia wa mbwa kunyoka,maana hayo umeandika ni matashi ya wanasiasa siyo ya wananchi wa kawaida
 
Kwa misifa anayopewa na nyumbu huyu rais Samia, Tundu Lisu atasubiri sana
 
Taifa kuwa na tamaduni siyo kosa,tatizo ni kuenzi tamaduni za kijinga. Yaani wewe unaona mbio za mwenge ndiyo utamaduni wa kuuenzi.Alafu hao wazungu,wachina unaowatolea mfano ya kwamba wanaenzi tamaduni zao,huwezi kuta wanaenzi vitu vya kipuuzi.Mzungu,mchina siku zote wanaenzi sayansi,na ndicho kilicholeta mapinduzi kwenye mataifa yao.
Naona huwajui vizuri hao wachina na wazungu. Hujui tamaduni zao. Hujui mila zao mbali na sayansi unayoisema. Hivi unajua tamaduni zetu walikujazeni kuwa ni upuuzi.
Hivi unajua kuna mwenge wa Olympic ambao hao hao wazungu unao waona wa maana uzungusha mwenge huo duniani.
Unajua Ulaya nguvu na imani za kishirikina zipo. Tena zina nguvu. Na wanamchukia Mungu wazi wazi.
Narafiki yangu mmoja. Uwa anapenda kuja kupumzika kanisani. Ila cha kushangaza uwatukana matusi wachungaji na wahumini. Katika kutaka kujua kwa nini, ndipo alinieleza mengi. Alisema yeye ni mchawi na wanamtandao mkubwa duniani wa kishirikina. Alinitajia hata baadhi ya wachungaji wakubwa na viongozi ktk serikali walio ktk imani za kishirikina. Alinishawishi kujiunga. Nilimkatalia! Kwa muda wa miaka mitano alikuwa ananishawishi. Watu umuogopa. Na katika hyo nchi "iliyopo Ulaya" na nchi ilopiga hatua kubwa ktk sayansi duniani.
Watu wengi wanaamini kuabudu na kuongea na mizimu, watu walokufa.
Kuna mkasa ambao niliushuhudia, ila siwezi eleza hapa. Si Ulaya tu hao hao unaosema wanasayansi kuna mgodi mkubwa hapo Tanzania. Uwa kila mwaka wanaita waganga kutoka Nigeria kuja kufanya matambiko.
Romania kwa Ulaya ni moja ya nchi wanao amini nguvu za uchawi. Na kuna waganga wanao pata fedha kwa utoaji wa kinga, biashara na mapenzi.
Huyu mzungu katika Hii nchi napoishi amekiri kuuwa kichawi watu wengi na hata wachungaji walioenda kinyume na matakwa.
Uzuri nimekuwa na girlfriend wa kichina huyu alinifundifisha mambo mengi mia na desturi za kichina. Uchawi ni tamaduni za kichina. Na ufanya kama sayansi.
Mfano miaka ya themanini wachina walijenga daraja la Kirumi huko mkoani Mara. Daraja hili lilisumbua sana.
Wachina wakaaga wakaondoka kwenda kwao , baada ya muda walirudi na kilichoendelea na aina ya ujenzi ilijaa uchawi. Na walijenga usiku tu. Wakazi wa huko wanajua nn kilitokea.
Wahindi ndo usiseme kwa uchawi na ushirikina. Natumai unawajua.
Niishie tu hapa. Ni mengi. Hii ni kuonesha unachokitukana hao hao wanasayansi wanakitumia.
 
Umeona mwnge tu? Sisi tunautaka mwenge una faida.ulikujaga hapa wilayan tukauopokea na kamati na chai tukanywa na siku hio watoto tuliwaruhusu mapema.
 
Hapo vip!

Binafsi nimekuwa mtanzamaji na msomaji sana katika hili swala la Ole Sabaya. Baada ya kuona mashambulizi yanakuwa makubwa..nikaona nilifanyie utafiti na kujiuliza maswali ya msingi.

Ni kweli kuna maneno mengi sana yameongelea kuhusiana na Sabaya ila katika hizi tuhuma tuziangalie kwa mapana na kujiuliza maswali ya msingi.

Binafsi nimeshaona clips nyingi Ole Sabaya akiwasaka wafanyabiashara wanaibia serikali serikali na kwa kukwepa kodi..mkwepa kodi ni sawa na mwizi kama mwizi mwingine..katika nchi za ulaya ni anapewa adhabu kubwa sana.

Pia nilishaona clips mbalimbali akitatua migogoro ya ardhi jambo ambalo limeleta suluhu kwa wananchi walionyima haki yao kwa muda mrefu...nimeona clip nyingi sana...sasa swali la msingi la kijiuliza... kati ya Sabaya na hao wafanya biashara wanaokwepa kodi na Jambazi?

Ninachokiona hapa kuna hoja za chuki dhidi ya huyu bwana zenye elements za kisiasa na ukabila.

Ukirejea clips ya Lema na Sabaya kuna kitu cha kujifunza wakati Lema anasema community ya kichagga..kwenye hiyo sentence kuna vitu vya kujifunza.

Harakati ambazo zilikuwa zikiendelea mitandao dhidi ya Sabaya ni harakati za kumuondoa hai kwasababu amekuwa mwanga na mtu jasiri dhidi watu wachache wenye nguvu katika ile jamiii walikuwa mungu watu dhidi ya watu wanyonge.

Lakini pia embu tujaribu kuchukua sample ya watu wanaorusha sana tuhuma dhidi ya Sabaya utakuta ni watu wenye idiology moja kisiasa au utakuta ni kabila moja.

Hata hao wanaorusha tuhuma sio wasafi sana katika uongozi wao ni watu waajanja wajanja.

Namshauri mama na Rais wangu Samia aangalie hili swala kwa mapana yake. Kuna kikundi cha watu wenye interest naona wanafanikiwa kummanipulate mama kwa interest za kikabila na za kisiasa.

Pia naamini Sabaya hakuwa msafi katika uongozi wake ila naona exaggeration kwenye tuhuma zake.
 
Back
Top Bottom