to general mkuu, come with fact.... kwamba wapi, what happend, nani anahusika, anahusika kivip? otherwise hakuna kitu utakuwa unamsaidia huyo mtu wa chini unayemzungumzia!Mambo yanavyokwenda huku chini siyo mazuri kabisa. Tabia za uzembe rushwa na ufisadi zimerudi kwa kasi kubwa kwenye tahasisi za SERIKALI.
Watu wengi hawakumwelewa mh magufuli jinsi alivyokua anafukuza watendaji wazembe.
Mama chukua hatua haraka maana nyani wanamaliza maindi ya Watoto shambani hali siyo nzuri.
Hapana isee mambo yamebadilika sana. Nafikiri hata Lissu atarudi nyumbani Muda so mrefuMwana ccm anaejivika vazi la upinzani..
Ni sawa.Hapana isee mambo yamebadilika sana. Nafikiri hata Lissu atarudi nyumbani Muda so mrefu
Chawa Aliyeshiba Damu Za Watu Anakaribia KupasukaMwana ccm anaejivika vazi la upinzani..
AirNi miezi kumi na Moja sasa tangu ushike usukani wa kuliongoza taifa letu pendwa Tanzania.
Vijana wa kizazi hiki Wana msemo wao wa " kuupiga mwingi"
Mama kweli unaupiga mwingi hongera sana.
1. Taifa lilikuwa limegawanyika watu walijawa uoga wa ajabu lakini sasa tupo uoga umekwisha Hadi taarifa ya habari tunakuwa na hamu ya kusikiliza au kuangalia.
2. Leo professor J. Anajuliwa hali na Wana CCM? Isee hongera sana
3. Leo tunaambiwa Serikali imekopa kiasi kwaajili ya kitu flan. Hongera sana Mama.
4. Magazeti pendwa kufunguliwa hivi
5. Ni mwaka sasa hatujasikia utekaji na
utesaji.
6. Hongera sana
Mwisho
Police wanakuchafua sana.
Police ni genge la wahalifu
Siku hizi Bora ukutane na majambazi watakuhurumia kuliko kukutana na askari police.
Ni hayo tu
Mbowe sio gaidi Bali magaidi ni police wenyewe.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Lumumba Kuna niniWewe ni takataka!
Mpaka sasa vijana 5 wale wa kariakoo hawajulikani walipo!
.
Mpaka sasa, ripoti inaonesha kumtokea mauaji ya wagu 176 tangu achukue madaraka.
Machawa ya hangaya mna shida sana
Mfumuko ulianza tangu awamu ya tano. Sukari ilipanda, mafuta mabati Kila kitu kilipanda tangia hapomfumuko wa bei hujauona au we unakula ugali wa jeshi
Nafikiri kifaransa anakijua. Sio yule boya, alienda Zimbabwe akaongea kiingereza chake viongozi wenzie hawakuelewa ana Manisha niniAngalieni vizuri hiyo Video; mkutano unaaemdeshwa kwa lugha ya kifaransa na Mama Samia hajavaa vifaa vya kutafsiria lugha, Je alikuwa anafuatilia vipi majadiriano? Au Mama Samia anakimudu kifaransa?
Sisi mfumuko uko sawa na nchi jirani. Nenda kwa Majirani uone.Hali ya uchumi ni mbaya mtaani hakuna hela tunapigana vibomu tu.
Mfumuko wa bei haushikiki.
Tanzania imedrop toka nchi kumi tajiri afrika.
Tanzania haimo katika nchi kumi zenye mazingira mazuri kwa uwekezaji afrika.
Bado ajira kwa vijana ni mtihani.
Umeme umegeuka kuwa na siasa za siku zote.
Kwakweli ni kama vile tunahitajika kujitathmini upya.
Hongera kwake maana hata vyeo wanagawana tu ukoo mmoja.Ni miezi kumi na Moja sasa tangu ushike usukani wa kuliongoza taifa letu pendwa Tanzania.
Vijana wa kizazi hiki Wana msemo wao wa " kuupiga mwingi"
Mama kweli unaupiga mwingi hongera sana.
1. Taifa lilikuwa limegawanyika watu walijawa uoga wa ajabu lakini sasa tupo uoga umekwisha Hadi taarifa ya habari tunakuwa na hamu ya kusikiliza au kuangalia.
2. Leo professor J. Anajuliwa hali na Wana CCM? Isee hongera sana
3. Leo tunaambiwa Serikali imekopa kiasi kwaajili ya kitu flan. Hongera sana Mama.
4. Magazeti pendwa kufunguliwa hivi
5. Ni mwaka sasa hatujasikia utekaji na
utesaji.
6. Hongera sana
Mwisho
Police wanakuchafua sana.
Police ni genge la wahalifu
Siku hizi Bora ukutane na majambazi watakuhurumia kuliko kukutana na askari police.
Ni hayo tu
Mbowe sio gaidi Bali magaidi ni police wenyewe.
Ata rekebishaHongera kwake maana hata vyeo wanagawana tu ukoo mmoja.
Nafikiri kifaransa anakijua. Sio yule boya, alienda Zimbabwe akaongea kiingereza chake viongozi wenzie hawakuelewa ana Manisha nini