Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Ni bahati mbaya tu miaka mitano iliyopita nchi haikuwa na rais hata nchi za ulimwengu wa kwanza walikuwa wanaulizana kwamba hivi tanzania kweli Kuna rais?
Angalia Sasa hivi misaada inavyomiminika na wawekezaji kuja kwa kasi na ajira kupanuka kama mwanga wa radi kisa tu tuna raisi.
Angalia Sasa hivi misaada inavyomiminika na wawekezaji kuja kwa kasi na ajira kupanuka kama mwanga wa radi kisa tu tuna raisi.