Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Hili nakubaliana na wewe Mkuu, tulikuwa hatulali, kula wala kunywa. Wasukuma wote walikuwa Mapresidaa. Utasikia sisi ndio wenye nchi!Kwani mama kakosea??? Mwacheni mama ajinafasi yule msukuma alipokuwa rais wasukuma wote walikuwa watawala.
Sukuma gang mna shida sana?Kumekuwa na mkakati mkumbwa wa kuaminisha watu kuhusu mwenendo wa siasa zetu, na kwa bahati mbaya sana chama kilichopo madarakani, chama cha mapinduzi kumekuwa kikipambana chenyewe dhidi ya kivuli chake, yaani kila awamu inaisema awamu iliyopita. Ilitokea kwa Kikwete alivyoachiwa na Mkapa, Magufuli alivyoachiwa na Kikwete, na sasa Rais Samia alivyoachiwa na Magufuli.
Katika kusemeana wanatofautiana logic na relevance, tukiangalia awamu hizi mbili za mwisho, viongozi waandamizi ni wale wale, na viongozi wakuu wanatofautiana namna walivyoingia madarakani.
Uchaguzi 2015 Magufuli aliingia kwa mbinde sababu Imani ya watu katika chama na Serikali ilipungua mno, hivyo ilibidi afanye juhudi kubwa kuturudisha imani hiyo, na Sera ya chama hapa kazi tuu, ilitumika kubadili mindset ya wananchi na watumishi, kusafisha uozo ulikuwepo mf. Mikataba mibovu kama madini na kwingineko, upatikanaji wa huduma za kijamii ulipanda na uwajibikaji ulikuwepo,
Ni mwaka mmoja Sasa umepita toka awamu ya sita, iingie madarakani, kwa viongozi wale wale ajenda kubwa inayonekana sio tena maendeleo wala, namna ya kukuza uchumi wa nchi sambamba na vipato sasa ni vijembe visivyo na logic wala relevance, kukemea mienendo ya mtangulizi wako Hayati Magufuli ni kujidhalilisha tu, haswa wakati huu dunia inapitia kipindi kigumu sana, inakuonesha uko hapo kutetea uonevu, ufisadi na kujinufaisha wewe pamoja na familia yako.
Ni vyema ukachunga kinywa chako na ukachagua maneno ya kusema utazidi kupoteza mvuto, kumuita binadamu Simba wa Yuda ni kumdhihaki sio yeye tuu, hata dhehebu fulani litahisi hivyo
Katika maadhimisho ya mwaka mmoja awamu ya sita iingie, hamna jambo hata, la kujivunia zaidi tozo kandamizi, na diplomasia.
Mimi rai yangu naomba mh Rais, usitafute sifa kwa jirani wakati watoto wako wanakufa na njnn.
Leo chato mvua inanyesha au Kuna jua?Ki eneo Rais Samia anatokea Ukanda wa waswahili na huenda naye ni mswahili pia ni sawa japokuwa ni lazima sasa aachane na huo uswahili wake kwa sababu ya dhamana aliyonayo kwa Taifa.
Kauli zake za kiswahili hasa ahutubiapo hadhira fulani hazipendezi na hazifurahishi kabisa!
Jafo aliwahi kumsema injinia mmoja mpaka akazimia.Ndo wanavyolelewa hawa wenzetu kwao mipasho ni sawa na kuku na yai ama kuku na utitiri, haviachani.
Kujiita tu kijakazi inaonesha huna akili!Tofautisha kati ya Uswahili na intelligence, usichanganye mambo mimi ni Mswahili na ninajivunia Uswahili wangu na ninaelewa ninachokiongea, intelligence ni pamoja na kujua mipaka ilipo na kuiheshimu sasa uwezo wa kujua mipaka ilipo siyo swala la Utamaduni fulani bali ni intelligence, got it ?
Kwa mara ya kwanza 2024 nitashiriki siasa kuhakikisha wale wanaonifanya wana haki ya kutawala Tz wanaondoka madarakani sisi ambao tuko na msimamo wa kati kwa sasa tunaona ni bora chama chochote kiingie madarakani lakini siyo hawa ambao wanatuaminisha wanapigania maslahi yetu kumbe wanapigania maslahi yao
Hajachaguliwa huyooo
Kujiita tu kijakazi inaonesha huna akili!
How come you judge somebody intelligence while you call yourself kijakazi? Takataka wewe
Hana sifa ya urais, unampwayaKi eneo Rais Samia anatokea Ukanda wa waswahili na huenda naye ni mswahili pia ni sawa japokuwa ni lazima sasa aachane na huo uswahili wake kwa sababu ya dhamana aliyonayo kwa Taifa.
Kauli zake za kiswahili hasa ahutubiapo hadhira fulani hazipendezi na hazifurahishi kabisa!
Kumekuwa na mkakati mkumbwa wa kuaminisha watu kuhusu mwenendo wa siasa zetu, na kwa bahati mbaya sana chama kilichopo madarakani, chama cha mapinduzi kumekuwa kikipambana chenyewe dhidi ya kivuli chake, yaani kila awamu inaisema awamu iliyopita. Ilitokea kwa Kikwete alivyoachiwa na Mkapa, Magufuli alivyoachiwa na Kikwete, na sasa Rais Samia alivyoachiwa na Magufuli.
Katika kusemeana wanatofautiana logic na relevance, tukiangalia awamu hizi mbili za mwisho, viongozi waandamizi ni wale wale, na viongozi wakuu wanatofautiana namna walivyoingia madarakani.
Uchaguzi 2015 Magufuli aliingia kwa mbinde sababu Imani ya watu katika chama na Serikali ilipungua mno, hivyo ilibidi afanye juhudi kubwa kuturudisha imani hiyo, na Sera ya chama hapa kazi tuu, ilitumika kubadili mindset ya wananchi na watumishi, kusafisha uozo ulikuwepo mf. Mikataba mibovu kama madini na kwingineko, upatikanaji wa huduma za kijamii ulipanda na uwajibikaji ulikuwepo,
Ni mwaka mmoja Sasa umepita toka awamu ya sita, iingie madarakani, kwa viongozi wale wale ajenda kubwa inayonekana sio tena maendeleo wala, namna ya kukuza uchumi wa nchi sambamba na vipato sasa ni vijembe visivyo na logic wala relevance, kukemea mienendo ya mtangulizi wako Hayati Magufuli ni kujidhalilisha tu, haswa wakati huu dunia inapitia kipindi kigumu sana, inakuonesha uko hapo kutetea uonevu, ufisadi na kujinufaisha wewe pamoja na familia yako.
Ni vyema ukachunga kinywa chako na ukachagua maneno ya kusema utazidi kupoteza mvuto, kumuita binadamu Simba wa Yuda ni kumdhihaki sio yeye tuu, hata dhehebu fulani litahisi hivyo
Katika maadhimisho ya mwaka mmoja awamu ya sita iingie, hamna jambo hata, la kujivunia zaidi tozo kandamizi, na diplomasia.
Mimi rai yangu naomba mh Rais, usitafute sifa kwa jirani wakati watoto wako wanakufa na njnn.
Magufuli alinajisi uchaguzi akajaza wabunge wa ccm bungeni eti kuwa ni wazalendo, sasa hao wabunge wa ccm waibane serikali kwenye hiki kinachofanywa na serikali ili kudhibitisha ule uzalendo wao tulioambiwa.Huyu Mama kwakweli hata mie simuelewi.
Kwa mfano ishu yake ya majuzi kukomalia kwamba bei ya nauli na usafirishaji bidhaa LAZIMA ipande kwakuwa mafuta yamepanda bei wakati wafanyabiasha wa mafuta wala hawajalalamika!
Ni kama anawataka wafanyabiashara hao wapandishe gharama haraka sana!.
Hapohapo anasahau bidhaa nyingi hapa nchini bei ilianza kupanda kabla hata ya hivyo vita vya Russia sema tu kwasasa serikali imepata SABABU kwamba kilichosababisha hali hiyo ni vita!.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Viatu vya magu nivikubwa mno kwake msamehe tu..
#MaendeleoHayanaChama
Hivi,ni kwa nini hamtaki shaitwain asimangwe?πππππKulikuwa na ulazima gani wa kuongea hayo!?!
Haisaidii!!!!Hivi,ni kwa nini hamtaki shaitwain asimangwe?πππππ