passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Aondoke huyu kiongozi mmbovu anayeuza mali ya nchi.Siyo aoendeke huyu supreme leader wa chadema
Aondoke huyu kiongozi wa nchi anayeuza kila kitu kwa wajomba zake.Siyo aoendeke huyu supreme leader wa chadema
Umeshamaliza kusali lakini au bado?Chini ya miaka miwili, mama Samia umefanya mambo makubwa sana kimaendeleao Tanzania.
Hakuna wizara ambayo hujaiongeza bajeti.
Matatizo mengi sana ya Watanzania umeyatatuwa ndani ya muda mchche sana.
Mwenyezi Mungu akulinde na mahasidi na akuzidishie hekima.
Toka ulipoamua kutuletea Waarabu wa Dubai kwa maendeleo yetu, mahasidi wameshindwa kujizuwoia, tunafahamu kwanini, wewe usijali piga kazi. Wa mitandaoni humu tutakula nao sahani moja. Tushawajuwa ni mawakala wa nani.
Hivi huyu supreme leader Hana ukomo wa madarakaAondoke huyu kiongozi wa nchi anayeuza kila kitu kwa wajomba zake.
Umeshamaliza kusali lakini au bado?
Bado.Umeshamaliza kusali lakini au bado?
Bado.
Tayari
Wewe inakusaidia nini sala yangu au ya mwengine yeyote?
Chini ya miaka miwili, mama Samia umefanya mambo makubwa sana kimaendeleao Tanzania.
Hakuna wizara ambayo hujaiongeza bajeti.
Matatizo mengi sana ya Watanzania umeyatatuwa ndani ya muda mchche sana.
Mwenyezi Mungu akulinde na mahasidi na akuzidishie hekima.
Toka ulipoamua kutuletea Waarabu wa Dubai kwa maendeleo yetu, mahasidi wameshindwa kujizuwoia, tunafahamu kwanini, wewe usijali piga kazi. Wa mitandaoni humu tutakula nao sahani moja. Tushawajuwa ni mawakala wa nani.
True story, father of all.
Naomba ujumbe huu uwafikie rais Samia Suluhu Hassan, wapenzi wake, chawa wake na maadui wote wa Magufuli.
Kwanza, siyo nyinyi tu, Tanzania na Jumuia ya Afrika Mashariki mnapaswa kumshukuru Magufuli kwa kuwapatia rais Mwanamke wa kwanza kwenye ukanda huu.
Pili, Rais Samia najua chawa wake walioko humu watakufikishia au kukusemea, bila Magufuli ungekuwa rais? Kwa alivyokuwa mbabe, hata angemteua mke wake msingemzuia mlivyomgwaya.
Tatu, shukuruni haya yote mnayojivunia kama vile madege, reli ya kisasa, barabara na mengine mengi ni kwa sababu ya utundu wake. Bila CCM kumsimamisha Magufuli, ingekuwa ilipo Kanu (Kenya), MCP (Malawi, na UNIP (Zambia).
Nne, mshukuruni lau na kumkumbuka kwa flyovers na flyunders zilizojazana Tanzania.
Mkumbukeni kwa kuufufua mji wa Dodoma na kuufanya mji mkuu kivitendo baada ya kukaa miaka 30 ukiwa ni wa kinadharia.
Tano, leo mnalia hakuna dola. Alipofunga maduka ya kutoroshea dola mengi ya wahindi hamkumuelewa. Mmeruhusu kipumbavu cha moto wafanyabiashara wanakipata.
Bila Magufuli bunge mngekuwa na wapinzani wakipinga upigaji wenu.
Mshukuruni Magufuli kwa kukuza uchumi na kupunguza ubangaizaji na uzembe ambavyo vimeanza kujongea tena.
Bila Magufuli chawa manadhani mngekuwa na ng'ombe wenu , Samia, wa kukamua damu?
Japo hakuwa mkamilifu, alithubutu ambapo wengi walishindwa. Kwa hili lau mkumbukeni na mmpe maua yake.
Naomba kutoa hoja.
Nini "haiwezekani" sijakuelewa, tafadhali fafanuwa.Duh!!! [emoji1241] bila unafiki haiwezekani ,bila shaka hata yy pindi ni makamu alipiga vita ujinga ,upuuzi wa hovyo×2 n.k ,baada yahapo alitembea kafunika pua,mdomo kwa barakoa ko nisawa na ulichomsifia for nothing ,..
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Ndio maana , huwezi kuelewa ata hivyo sio tu uelewe leo ata kesho pia ni cku ,,....Mwalimu darasani ,wanafunzi wake kati ya %100 huwa wanaelewa %35kati ya%100 na%65 wataelewa kwa mbinu mbali×2 ,kwakujisomea bnafsi ama kwa magruop discation,...Nini "haiwezekani" sijakuelewa, tafadhali fafanuwa.
Yap, cjui anasubili nini tu?Namshauri atangaze kujiuzulu, aitishe uchaguzi wa mapema
Mwalimu mbona umekosea spelling za Kingereza hapo?Ndio maana , huwezi kuelewa ata hivyo sio tu uelewe leo ata kesho pia ni cku ,,....Mwalimu darasani ,wanafunzi wake kati ya %100 huwa wanaelewa %35kati ya%100 na%65 wataelewa kwa mbinu mbali×2 ,kwakujisomea bnafsi ama kwa magruop discation,...
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Bila shaka hata ww uliwahi kukosea kuandika neno paspokusudio la ubongo wako ,...ata kutamka pia,..Mwalimu mbona umekosea spelling za Kingereza hapo?
Wahenga walisema "kuchamba kwingi, kubaki na...".
Mimi nauhakika wewe mwenyewe hukielewi ulichokiandika ndiyo maana umeshindwa kufafanuwa.
Mwalimu bomu.
Sawa, hilo linasemeheka. Haikuondelei dhima ya kujibu swali. Unalikumbuka? Au ndiyo ulikosea?Bila shaka hata ww uliwahi kukosea kuandika neno paspokusudio la ubongo wako ,...ata kutamka pia,..
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app