HAKI Huwa inaanza, Amani inafuata.Dumisha Amani kipimo Cha HAKI anacho Mungu wa mbinguni
Penye wizi wa kura, HAPANA Amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKI Huwa inaanza, Amani inafuata.Dumisha Amani kipimo Cha HAKI anacho Mungu wa mbinguni
Shetani ameruhusiwa kuwajaribu Wanadamu na kuwapepeta kama nganoKama ni hivyo, Yale mabegi meusi ya kura ni ya nini?
Kama wanawekwa na Mungu, huu ulinzi wote wa nini,
Hiyo Mungu aliwaweka hawezi kuwalinda?
Jo, usimhusishe Mungu na siasa zenu, mnazoziita sissa ni sayansi, ikihusisha zaidi wizi wa kura na mizengwe,
Acha UzanzibariHilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana
Nawatakia Dominica Njema 😄
Unapowatengenezea Furaha watu Wengine unatengeneza Amani na Haki ya Mungu wa mbinguni inashuka mahali hapo automaticallyHAKI Huwa inaanza, Amani inafuata.
Penye wizi wa kura, HAPANA Amani.
Wazanzibar ni wazalendo wa kweliAcha Uzanzibari
Kumbe furaha Huwa inatengenezwa?Unapowatengenezea Furaha watu Wengine unatengeneza Amani na Haki ya Mungu wa mbinguni inashuka mahali hapo automatically
Ndio ujifunze sasa na Mungu wa mbinguni atakubarikiKumbe furaha Huwa inatengenezwa?
Wewe binafsi huna walakini wowote?Ombi lina mawili.
Kukataliwa ama kukubaliwa....
Binafsi Naipenda Tanzania lakini huyu mtawala wa sasa ana walakini mkubwa sana
Kama wanakubali kupepetwa na shetani, Basi ndio aliewaweka,Shetani ameruhusiwa kuwajaribu Wanadamu na kuwapepeta kama ngano
Uongozi wa Wanadamu huwekwa na Mungu wa mbinguni Mwenyewe
Hata Wewe unapepetwa na Shetani ukiwa Ndani ya Ungo wake (Dunia)Kama wanakubali kupepetwa na shetani, Basi ndio aliewaweka,
Na ndio maana ni waongo kama shetani ambaye ni baba wa uongo
Jifunze pia,Ndio ujifunze sasa na Mungu wa mbinguni atakubariki
Kuna tofauti Kati ya Kuiba kura na Kuhamisha kuraJifunze pia,
Huwezi kupendwa Kwa kusigina Katiba na kujikita katika mipango ovu ya RUSHWA na wizi wa kura.
Nakukumbusha pia kuwa 2024 & 2025 Tumewaalika Malaika wenye panga zikatazo kuwili kuhakikisha Sanduku la kura halitiwi nahisi.
Ikulu kwa Nchi zinazoongozwa kidini kama Zanzibar, Iran, Vatican nk Ndio mahali PatakatifuMwl. Nyerere aliwahi kusema Ikulu ni mahali patakatifu .Lakini hakuna mtakatifu kwa hii Ccm ya sasa .Ccm inaingia Ikulu kwa wizi wa kura , wanawadanganya wananchi , wanafanya ufisadi wa kutisha . Haya mambo yanainajisi nchi na nchi inalaanika ndo maana nchi sasa inaanza kupigwa na majanga ya asili .
Ili asipotoke ilitakiwa afanyejeWewe mleta mada umepotoka .
Umeanza maneno yako ya sayansi ya siasa,Kuna tofauti Kati ya Kuiba kura na Kuhamisha kura
Nakuombea kwa Mungu wa mbinguni ulielewe hili