Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hilo ni ombi langu kwa Watanzania wote na Mungu wa mbinguni atawabariki sana

Nawatakia Dominica Njema 😄
Rais mwenyewe haipendi nchi anayoingoza. Upendo wake upo zaidi viisiwani na uarabuni. Rasilimali muhimu zote anawakabidhi wajomba. Hata wewe unajua ukweli sema umeweka maslahi binafsi, ya CCM mbele ya maslahi ya Taifa.
 
Rais mwenyewe haipendi nchi anayoingoza. Upendo wake upo zaidi viisiwani na uarabuni. Rasilimali muhimu zote anawakabidhi wajomba. Hata wewe unajua ukweli sema umeweka maslahi binafsi, ya CCM mbele ya maslahi ya Taifa.
CCM ni kundi tu la binadam

Hoja yangu ni Uzalendo kwa Nchi
 
Naipenda nchi yangu ila rais hata akitokomea moja kwa moja kwenye safari zake na akabaki hukohuko sitapungukiwa na kitu
 
CCM ni kundi tu la binadam

Hoja yangu ni Uzalendo kwa Nchi
Rais, serikali inapendwa inapowapenda wananchi wake na kutumia kodi zao kwa mambo muhimu. Huduma za afya, maji, miundombinu, elimu, haki za ardhi kuheshimiwa, rasilimali za nchi kulindwa, kuondoa ufisadi, rushwa, kuteua wa sahihi kutuongoza. Inahitajika rais mwenye uchungu na rasilimali za nchi. Rais wa Tanzania yeye hana uchungu wowote na rasilimali za nchi au matatizo yao.

Wewe Yohana mbatizaji unaweza kuwapenda wezi, majambazi, mafisadi, wala rushwa?
 
Hata Rais ni Taasisi
Kwa jina.
Sababu head of the institution anafanya maamuzi hata kama taasisi ikimshauri kwa maslahi mapana ya Taifa.

Kukariri kuwa ni taasisi nakushauri kasome Katiba. Hatuchagui TAASISI tunampigia MTU MMOJA kura kuongoza Tanzania. Kinachoendelea hapo ni Mungu ajuaye
 
Sawa mkuu tuendelee kuwa wazalendo katika taifa letu
 
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.

Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:

Kwanza, usiturudishe nyuma tena. Awamu ya tano imetuonyesha nini maana ya uhuru na kujitegemea. Tanzania haina mjomba wala shangazi huko nje. Maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe. Jukumu lako ni kutupanga, kutuvuvia, kutushawishi na kutuonyesha kwa mfano wako wewe mwenyewe kwamba inawezekana, tunaweza, tusonge mbele.

Pili, Mzee Magufuli amefariki, lakini spirit yake inaishi. Ni askari aliyefia vitani akiwa mstari wa mbele, katika kupambania uhuru wetu na kujitegemea kwetu. Usije kufanya kosa kufanya mapungufu ya style ya Magufuli ya uongozi, iwe kigezo cha wewe kubadili uelekeo wa nchi yetu katika kujiamini na kuthubutu. Magufuli amefariki lakini kaacha alama na kaacha spirit. Wenye hiyo spirit wamo ndani ya chama tawala, vyama vya upinzani, serikalini, sekta binafsi, kwa wakulima na wafanyakazi. Hili ni jeshi kubwa sana, usicheze nalo.

Tatu, tutakusikiliza kwa umakini, tutakuangalia sana mienendo yako, tutatizama sana namna zako kama zinaturudisha nyuma au zinatupeleka mbele. Nisiseme sana katika hili, lakini itoshe tu kwamba spirit ya Mzee Magufuli inaishi. Tukiona tu dalili kwamba unakotupeleka siko hatutakuvumilia. Tushaonjeshwa uhuru hatutarudi tena kwenye utumwa. Tushaonjeshwa kujitegemea hatutarudi kwenye utegemezi tena.

Mwisho, Mungu akupe hekima ya kuongoza watu milioni 60 kwa akili na ujasiri. Ninaamini utatuvusha salama, karama ya uongozi unayo, itendee haki. Tegemea ushirikano wetu.

Pia soma: Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Mmh
 
Mijadala mingi huko nyuma imeibuka kuhusu mtazaomo wa wasio waislam kwa waislam

Baadhi yao wakiamini wanawake wa kiislam wanakaa majumbani na wanaume wa kiislam hawawapi fursa pia waislam hawakusoma

Yote hayo hivi sasa yamezibwa mdomo.
Rais mwanamke tena muislam

Nakutakieni J2 njema. Mod kama mnavyaocha nyuzi nyengine na hii iacheni
Demokrasia sio kuandamana hata kusema pia demokrasia. Uhuru hauna mipaka- mwanahalisi
 
Back
Top Bottom