Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL

JPM ile ni zawadi kutoka kwa Mungu amefanya alichotumwa kwa watanzania ameondoka hata Musa mwenyewe hakufika nchi ya Ahadi japo ni yeye ndo aliwatoa Misri kuwapeleka huko ambapo wote walikuwa hawapajui kumbuka hata Musa alipata vipingamizi sana kwa hao hao aliowatoa utumwani mpka kufika kipindi akakata tamaa

Ni jambo la kawaida sana kwa binadamu kuto ridhika na kile alichonacho au kubarikiwa lakini kwa nchi alivyoipokea JPM ingeendelea vile leo tungekuwa tunanunua kiwanja majoe au chamazi miguu 20x20 kwa milioni 60
 
Mama President waangalie Tanesco kwa jicho kali, umeme umekua kama magendo sasa!! Mabwawa yamejaa maji, ila umeme full kukatika. Hapa nilipo kuanzia saa 9 umekatika mara 3. Now tupo gizani na ni tendency ya kawaida sasa!
 
1616956788710.jpeg
 
Mama Samia ana room kubwa saana ya kumfunika JPM!! Wengi hawajui tu!!

Akiitumia vema turufu yake hii basi ana miaka 14 mbele yake kuanzia majuzi.

Kuna amshimo mengi na mianya kibao jamaa kaiacha!! Kifupi kaacha taifa likiwa limegawanyika !!
 
Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
Kalale
Screenshot_20210328-203739_Twitter.jpg
 
Jiwe hana legacy zaidi ya udhalimu na dhuluma za kutisha. Hakustahili hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi kumi. Kaiacha nchi mahali pabaya sana. Mwenyezi Mungu Mkubwa 🙏🏾
Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
 
Kufuta nyayo za jemedali Magufuli mnahitaji kuipindua ardhi ya Tanzania juu chini vinginevyo mtajikuta mnakubali ni sawa kujenga minara ya JPM kila mkoa. Jamaa alisimika legacy siyo utani
 
Hakika mheshimiwa Rais umeanza kazi si kwa kishindo bali kwa haiba ambayo nimebahatika kuwashudia marais wa awamu kuanzia ya pila hadi leo hawakuwahi kuwa nayo .Kukubalika kwako na makundi yote iwe ndio fursa pekee ya kuhakikisha swala kuu kwa vijana linatatuliwa ingawaje kulimaliza ni ngumu kwani duniani kote ajira ni tatizo .Wakati wa utawala wa JK ajira sio kwamba zilikuwepo za kumwaga bali ni njia zilizotumika kujaza ajira serikali ndio iliyoonekana kuwa serikali kwa wakati huo ilikuwa inatoa ajira.Sifa kuu ya kupata ajira ilikuwa ni kwa njia ya ushindani na aliekosa ajira aliamini kuwa nafasi alikosa baada ya kufeli kwenye usaili.Piga marufuku ajira ambazo hazifuati utaratibu wa ushindani (interview)
Wewe naona unaishi korea kaskazini
 
Back
Top Bottom