King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sisi tunataka fedha zetu za NSSF fao la kujitoa.
Sisi tunataka tuliofukuzwa kwa vyeti feki watulipe mafao yetu.
sisi tunataka nyongeza ya mishahara miaka 6 hakuna nyongeza
Sisi tunataka tuliofukuzwa kwa vyeti feki watulipe mafao yetu.
sisi tunataka nyongeza ya mishahara miaka 6 hakuna nyongeza