Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Mama President waangalie Tanesco kwa jicho kali, umeme umekua kama magendo sasa!! Mabwawa yamejaa maji, ila umeme full kukatika. Hapa nilipo kuanzia saa 9 umekatika mara 3. Now tupo gizani na ni tendency ya kawaida sasa!
Mbona hukushtakia kwa Hayati alipikuwa hai? Au hili tatizo limeanza baada ya Samia kula kiapo cha urais?
 
Aa
1. Ajira kwa wahitimu
waliorundikana mitaani hasa wale wa taaluma ya ualimu
2. Kupandisha mishahara na madaraja kwa wafanyakazi ambayo haijapanda tokea mwaka 2015
3. Uhuru wa vyombo vya habari
4. Bunge live
5. Uhuru wa kufanya siasa kwa vyama vyote
6. Kuendelea kujenga miundo mbinu
7. Kufuta kitambulisho Cha machinga au wajasiriamaliK Na Kuondoa mrundikano wa Kodi
8. Kurudisha FAO la kujitoa
9. Kurudisha Demokrasia ya kweli
10. Kupunguza riba kubwa ya bodi ya mikopo na kurudisha riba nafuu Kama ilvyokuwa kwa jk
N.k.

Kama Samia akiyafanya haya pamoja na mengine, nitakuwa wa kwanza kumsahau Hayati Magufuli kwani Mimi Ni mhanga wa mengi Kati ya hayo yaliyofanywa katika utawala wa Magufuli
aagize kupitiwa upya zile kesi ,za wahujumu uchumi,wachochezi,uhalifu wa kimtandano(kumtukana raisi),wale mashekhi wa uamusho nk.

Hapo kulikuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu na uonevu kwa maslahi binafsi
 
Serikali iwatumie wachumi waliopo katika kurekebisha uchumi ambao kwa sasa umetumba
Mkuu umeongea la muhimu sana! Hasa kwenye sector ya ajira! Je ajira zitatoka wapi? Je serikali inauwezo wakuajiri Graduates wengi sana?? Jibu ni! Hapana! Je serikali itoe wapi sasa hizi ajira??

1. Serikali ikubali kwamba,imeuwa sana sekta binafisi,kwa kuhodhi mambo mengi ikidhani itayaweza! Mfano kwenye Tech,kuna kampuni kama Max Malipo zilitolewa kwenye system baada ya Serikali kuanzisha mfumo wake! Je watu wangapi walipoteza ajira hapa?? Sasa basi inabidi Serikali iziachie sekta binafisi zishindane na Serikali, kama ilivyokua awali! Je Serikali itakubali?? Kugawana mapato na sekta binafisi?? Biashara harali na haramu labda zianze,ndiyo tutaweza kupata pesa! Tusisubiri Serikali,itoe ajira! Hata Rais Samia kipindi anapiga kampeni kule Ludewa mwaka jana alisema,kwamba Serikali haiwezi kuajiri watu wote,tujiajiri! Serikali haina pesa zakuwalipa watumishi! Trust me!

2. Serikali imekua na tabia yakurundika pesa za serikali bank kuu,Je watakubali pesa za Serikali waziachie,ziende kwenye bank za biashara,zikazunguke huko,then zirudi tena mikononi mwa Serikali?? Je Serikali huoni hapo inaruhusu tena watu kutakatisha pesa?? Miradi iliyopo unadhani wataiacha hivi hivi?? Lazima pesa ziende kuendeleza miradi ya Serikali!
 
😂😂
FB_IMG_16169574907141781.jpg
 
Kasome tena katiba! Mama Samia baada ya hii miaka 4 kuisha,anaruhusiwa kugombea miaka mitano ijayo basi! Katiba haisemi kwamba sababu, hajapigiwa kura,ndiyo aje aanze as a fresh kwa kupigiwa kura hapana! Hata ingekua imebaki mwaka mmoja,angemalizia huo mwaka,kama akipenda,anagombea kwa miaka mitano tena,then ikiisha anamaliza mda wake
Hoja kuu ilikuwa kwamba Mama ana room kubwa sana ya kumfunika JPM, karibu mambo mengi jamaa alikuwa mkurupukaji!!
 
Unaishi wapi wewe jamaa yanguu,vijana wamejazwa mashirika ya umma bila hata interview
Mimi nimeuliza nahitaji kufahamishwa lakini majibu yako ni tofauti. By rhe way its ok bro!!
 
Hili ndo kundi wanaojiita graduate na degree zenu za Chupi mliojazana mitaani wakidai ajira, hv kwa akili zako nani anaweza kuajiri mtu mjinga kiasi hiki nyinyi mmebeba karatasi tu lakini kichwani hakuna kitu zunguka maofisini kwenye zile taasisi au mashirika yanayojielewa utakuwa wameajiriwa wakenya,waganda na wamalawi ulishajiuliza kwa sababu gani? si kwamba hakuna ajira ila soko la ajira haliitaji mavyeti yenu soko linaitaji ufahamu na maarifa kichwani ambapo ww na mwenzio hamna .
 
Hata jezi za yanga na simba aangalie pale kuna tatizo kwenye jezi
 
Tujikumbushe kwa JPM wakati anamrithi JK, watu walibet vipi. Pia hata atayefuata watasema hivihivi
 
Hili ndo kundi wanaojiita graduate na degree zenu za Chupi mliojazana mitaani wakidai ajira, hv kwa akili zako nani anaweza kuajiri mtu mjinga kiasi hiki nyinyi mmebeba karatasi tu lakini kichwani hakuna kitu zunguka maofisini kwenye zile taasisi au mashirika yanayojielewa utakuwa wameajiriwa wakenya,waganda na wamalawi ulishajiuliza kwa sababu gani? si kwamba hakuna ajira ila soko la ajira haliitaji mavyeti yenu soko linaitaji ufahamu na maarifa kichwani ambapo ww na mwenzio hamna .
Wewe endelea kuwa na mawazo mgando ya kuajiriwa
 
Pesa za Fao la kujitoa alikula marehemu enzi za uhai wake alikuwa na roho mbaya kula pesa za watu bila huruma daaah
 
Kasome tena katiba! Mama Samia baada ya hii miaka 4 kuisha,anaruhusiwa kugombea miaka mitano ijayo basi! Katiba haisemi kwamba sababu, hajapigiwa kura,ndiyo aje aanze as a fresh kwa kupigiwa kura hapana! Hata ingekua imebaki mwaka mmoja,angemalizia huo mwaka,kama akipenda,anagombea kwa miaka mitano tena,then ikiisha anamaliza mda wake
Mkuu mengine sawa, lakini ungebaki mwaka mmoja angeruhusiwa kugombea awamu 2 zijazo 2025 na 2030
 
Haya mambo mlimshauri JPM afanye ili kumfuta JK, leo mnamshauri mama Samia afanye kumfuta JPM, baadae atakuja mwingine mtasema afanye kumfuta Samia.
Alafu watu wanaoshauri ni walewale
Tujikumbushe kipindi JPM kachukua uraisi
 
Back
Top Bottom