King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hutaki watu wapate ajira?1&7 hapana
Tangia lini mliwajibika kazini kwa kujitoa wenyewe? Si mpaka msukumwe? Si bora kipindi cha JPM mlikuwa mnaogopa mkawa mnajituma tu kuliko huko nyuma mlikuwa kama mnalazimishwa kufanya kazi.Samia arudishe haki za watu na uwajibikaji kazini....
Hautaki watu waajiriwe? Kwa Nini muuza nyanya mwenye mtaji wa sh 3000 alazimishwe kulipia kitambulisho Cha shilingi 20000 ndo auze mchicha?1&7 hapana
KalaleHata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
Unaishi wapi wewe jamaa yanguu,vijana wamejazwa mashirika ya umma bila hata interviewAjira zipi unazozisema hazifuati ushindani? (usaili)
Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
Wewe rais wako si amekufaTangia lini mliwajibika kazini kwa kujitoa wenyewe? Si mpaka msukumwe? Si bora kipindi cha JPM mlikuwa mnaogopa mkawa mnajituma tu kuliko huko nyuma mlikuwa kama mnalazimishwa kufanya kazi.
Wewe naona unaishi korea kaskaziniHakika mheshimiwa Rais umeanza kazi si kwa kishindo bali kwa haiba ambayo nimebahatika kuwashudia marais wa awamu kuanzia ya pila hadi leo hawakuwahi kuwa nayo .Kukubalika kwako na makundi yote iwe ndio fursa pekee ya kuhakikisha swala kuu kwa vijana linatatuliwa ingawaje kulimaliza ni ngumu kwani duniani kote ajira ni tatizo .Wakati wa utawala wa JK ajira sio kwamba zilikuwepo za kumwaga bali ni njia zilizotumika kujaza ajira serikali ndio iliyoonekana kuwa serikali kwa wakati huo ilikuwa inatoa ajira.Sifa kuu ya kupata ajira ilikuwa ni kwa njia ya ushindani na aliekosa ajira aliamini kuwa nafasi alikosa baada ya kufeli kwenye usaili.Piga marufuku ajira ambazo hazifuati utaratibu wa ushindani (interview)