Jiwe ni zawadi kutoka kwa Mungu?Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
JPM ile ni zawadi kutoka kwa Mungu amefanya alichotumwa kwa watanzania ameondoka hata Musa mwenyewe hakufika nchi ya Ahadi japo ni yeye ndo aliwatoa Misri kuwapeleka huko ambapo wote walikuwa hawapajui kumbuka hata Musa alipata vipingamizi sana kwa hao hao aliowatoa utumwani mpka kufika kipindi akakata tamaa
Ni jambo la kawaida sana kwa binadamu kuto ridhika na kile alichonacho au kubarikiwa lakini kwa nchi alivyoipokea JPM ingeendelea vile leo tungekuwa tunanunua kiwanja majoe au chamazi miguu 20x20 kwa milioni 60
Hakuna lockdown wala mama yake na lockdown hapa Tanzania-Magufuli alishasemaMH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Jiwe hana legacy zaidi ya udhalimu na dhuluma za kutisha. Hakustahili hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi kumi. Kaiacha nchi mahali pabaya sana. Mwenyezi Mungu Mkubwa [emoji1488]
Hakuna lockdown wala mama yake na lockdown hapa Tanzania-Magufuli alishasema.
Wewe kama una hela zako jipige lockdown acha watafutaji wengine waendelee kupambana msituletee mambo ya hao wazungu huku sisi watz tushazoea hio korona na haitufanyi kitu.
Acha uongo wewe!!!Hapana! Mfano Magu angefariki 2024, Angepiga huo mmoja then kama angependa angepiga 2025 hadi 2030 baada ya hapo angeachia!
Haya maherufi makubwa yaniniTunataka mama kujitofautisha na hayati, kama wananchi wanavyosema kwenye mitandao kuwa kial alichofanya hayati ni kibaya ikiwemo hata hili kuturusu kuendelea na maisha ya kawaida wakati wa corona. Kwa hiyo ushauli unabacki palepale aipge lockdown masaa 24 kwa mwezi tanzania nzima ili kufunga na kuzima alama na misimamao ya Dr Jiwe.
Ngoja tuchimbe uchafu wote halaf ndo tutajua hiyo legacy..si alikuwa anaua wanaosema machafu yake. Sasaiv yuko wapiHata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL
JPM ile ni zawadi kutoka kwa Mungu amefanya alichotumwa kwa watanzania ameondoka hata Musa mwenyewe hakufika nchi ya Ahadi japo ni yeye ndo aliwatoa Misri kuwapeleka huko ambapo wote walikuwa hawapajui kumbuka hata Musa alipata vipingamizi sana kwa hao hao aliowatoa utumwani mpka kufika kipindi akakata tamaa
Ni jambo la kawaida sana kwa binadamu kuto ridhika na kile alichonacho au kubarikiwa lakini kwa nchi alivyoipokea JPM ingeendelea vile leo tungekuwa tunanunua kiwanja majoe au chamazi miguu 20x20 kwa milioni 60
Awamu ni ile ile na ajenda ni zile zile. Hakuna lockdown, watu wachape kazi!Tunataka mama kujitofautisha na hayati, kama wananchi wanavyosema kwenye mitandao kuwa kial alichofanya hayati ni kibaya ikiwemo hata hili kuturusu kuendelea na maisha ya kawaida wakati wa corona. Kwa hiyo ushauli unabacki palepale aipge lockdown masaa 24 kwa mwezi tanzania nzima ili kufunga na kuzima alama na misimamao ya Dr Jiwe.
Unataka watu wafe na njaaaMH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
hiyo sio kazi yake,Leo niseme Tu ukweli kuwa wewe si mtu wa maneno maneno,,, ila your actions speak louder.. kitendo cha kumtumbua mkurugenzi wa TPA ni chakupongezwa...
kazi uliyobakisha sasa ni kuhimiza watu wavae barakoa na wafuate ushauri wa wataalam wa afya.
Wewe uwe mfano kwenye hili..vaa barakoa
We dogo mpuuzi kweli, sasa hiyo lock down ina faida gani?Tunataka mama kujitofautisha na hayati, kama wananchi wanavyosema kwenye mitandao kuwa kial alichofanya hayati ni kibaya ikiwemo hata hili kuturusu kuendelea na maisha ya kawaida wakati wa corona. Kwa hiyo ushauli unabacki palepale aipge lockdown masaa 24 kwa mwezi tanzania nzima ili kufunga na kuzima alama na misimamao ya Dr Jiwe.