Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hautaki watu waajiriwe? Kwa Nini muuza nyanya mwenye mtaji wa sh 3000 alazimishwe kulipia kitambulisho Cha shilingi 20000 ndo auze mchicha?
Kumbe ilikuwa ni hivyo? Halafu ndo tunaambiwa ni raisi wa wanyonge? Na hao hao wanyonge wanaitikia na kumkubali? Kmamk wanyonge wote...


Nalog off.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hata samia afanye nini hawezi kufuta legacy ya JPM hilo namkwambia na pia hata JPM angefanya nini hawezi kufuta legacy ya JK iwe kwa mtu mmoja mmoja au kwa taifa zima Hata YESU angefanya miujiza anavyoweza hawezi kufuta legacy ya MUSA kwa wana wa ISRAEL

JPM ile ni zawadi kutoka kwa Mungu amefanya alichotumwa kwa watanzania ameondoka hata Musa mwenyewe hakufika nchi ya Ahadi japo ni yeye ndo aliwatoa Misri kuwapeleka huko ambapo wote walikuwa hawapajui kumbuka hata Musa alipata vipingamizi sana kwa hao hao aliowatoa utumwani mpka kufika kipindi akakata tamaa

Ni jambo la kawaida sana kwa binadamu kuto ridhika na kile alichonacho au kubarikiwa lakini kwa nchi alivyoipokea JPM ingeendelea vile leo tungekuwa tunanunua kiwanja majoe au chamazi miguu 20x20 kwa milioni 60
Nyie ndo zao la majinga mlio bakia baada ya kuondoka kipenzi chenu.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Haya maneno yapo miaka yote hata kwa JPM yalikuwepo
Tujikumbushe
Alienda kinyume sana. Hatukutegemea kupata raisi wa ajabu kama huyo.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
MH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Mods habari yenu
 
MH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Acha ufala, kajifungie mwenyewe. Hiyo Corona Tanzania umeiona wapi
 
MH SAMIA, nakushauri sana ili kutngeneza legacy yako nakuonyesha hukukubalina na mtangulizi wako basi nashauri utangaze tota lock down kwa kiezi miwili kuanzia sasa ili kupambana na CORONA . Na hii itakupa heshima kubwa sana kw wapinzani,, wazungu na wanachi wa mjini..
Kila la kheri katika kutkeleza
Usitegemee sisi TZ tuwe na Lockdown kama huko uliko! Sisi hatuna uoga wa corona kama nyinyi.
 
Naona kuna trend JF ya kila mtu kujifanya ni mshauri wa nchi against mtazamo wa hayati anyway naona itaisha soon maana kilichofanyika ni kama substitution timu ni ileile japo natamani kusikia jibu kutoka upande wa pili wa timu vipi akifuata ushauri wenu 2025 mtampigia kura, au ndio mnamtega ili mnyonyoe?
Wanataka watz wamchukie.
 
Ninadhani ushauri ungekua PPE za kutosha kwa wizara ya Afya hata wakipata mgonjwa wa covid wamhudumie bila hofu.

Maabara za kupimia covid ziongezwe. Ikiwezekana majibu yawe tayari ndani ya masaa 24.
 
Toka mama aingie kila mtu anajifanya kumpangia mama cha kufanya, tena kwa kuweka conditions kabisa "Mama ukifanya haya nitakukubali", wengine mara lock down, wengine tumbua huyu weka yule. Mama Samia hawezi kumridhisha kila mtu cha muhimu ni kumuombea afanye yale yaliyo na maslahi kwa taifa letu pasi na kumuonea mtu. Kuna baadhi hata kusifia mwanzo wake mzuri hawataki wanadai hata Magufuli alianza hivi hivi hivyo hawana imani nae.

Toa sifa panapostahili huko mbeleni atakapokosea pia kosoa, usimnyime mtu haki yake kwa kuhisi atakuja fanya makosa. Wamatumbi wanasema "We will cross that bridge when we get there" kwa sasa ni kukubaliana na hali tu "Huyu aliesimama hapa ndio Rais".​
 
Uzuri huyu mama ni mtu mwenye IQ kubwa sana, she read between the lines, penye ukweli anapaona na penye uongo anapaona.
 
Hakuna kiongozi akapendwa na watu wote au akachukiwa na watu wote.

Kuongoza nchi si jambo dogo ikiwa kuna watu kwenye familia zao tu za Mke na watoto wawili zinawavuruga kichwa.
 
Back
Top Bottom