ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Adabu 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaVery good advice , I think this is for the sake of our country.
Labda waliingia kabla ya magufuli...mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kila shirika, kada na taasisi baada ya 2015 wote walikuwa wanatoa nafasi wazi kupitia ajira portal.Unaishi wapi wewe jamaa yanguu,vijana wamejazwa mashirika ya umma bila hata interview
Subiri sindano ikuingieKwenda kule..lete ushahidi hapa
we kiazi kweliMh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:
1. Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2. Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3. Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani
4. Ondo miradi ya Maendeleo ya maji chato
5. Ondoa makao makuu Dodoma, na turudi Dar
6. Futa strogiers gourge..tuendeleze gas na tuwape makampuni binadsi kuzalisha umeme ili tupate ajira zaidi
7. Futa SGR ili hera ziendele kwenye maendeleo ya watu na siyo ya vitu
8. Fut mambo ya EFD kwani yanasababisha biashara kusinyaa.
Sio kweli ,baada ya 2015 ndio upuuzi wa kuhamishia wafanyakazi toka halmshauri kuja kwenye mashirika ya umma ndio ulishamiriLabda waliingia kabla ya magufuli...mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kila shirika, kada na taasisi baada ya 2015 wote walikuwa wanatoa nafasi wazi kupitia ajira portal.
Ajira za Serikali hazina ushandani, wanaofanya kazi serikalini na wahitimu wa vyuo Tanzania kwa 90% ni wako chini ya viwangoHakika mheshimiwa Rais umeanza kazi si kwa kishindo bali kwa haiba ambayo nimebahatika kuwashudia marais wa awamu kuanzia ya pila hadi leo hawakuwahi kuwa nayo .Kukubalika kwako na makundi yote iwe ndio fursa pekee ya kuhakikisha swala kuu kwa vijana linatatuliwa ingawaje kulimaliza ni ngumu kwani duniani kote ajira ni tatizo .Wakati wa utawala wa JK ajira sio kwamba zilikuwepo za kumwaga bali ni njia zilizotumika kujaza ajira serikali ndio iliyoonekana kuwa serikali kwa wakati huo ilikuwa inatoa ajira.Sifa kuu ya kupata ajira ilikuwa ni kwa njia ya ushindani na aliekosa ajira aliamini kuwa nafasi alikosa baada ya kufeli kwenye usaili.Piga marufuku ajira ambazo hazifuati utaratibu wa ushindani (interview)
Amefanyaje Lissu?Lissu vipi?
Hakuna cha kubet! JPM alirithi nchi ikiwa pazuri sana hasa kiuchumi. Alitakiwa kurekebisha machache sana ili aendane na kasi ya JK kiuchumi. Kwa kifupi kwenye uchumi JPM ameharibu kupita maelezo.Tujikumbushe kwa JPM wakati anamrithi JK, watu walibet vipi. Pia hata atayefuata watasema hivihivi
Magufuli, lipa kisasi ikibidi; historia ni mwalimu mzuri, itakulinda
MAGUFULI LIPA KISASI IKIBIDI, HISTORIA NI MWALIMU MZURI; ITAKULINDA.! By Malisa GJ, Leo nataka niwafundishe kidogo kuhusu historia na umuhimu wake. Katika historia ya Kanisa kuna maPapa waliwahi kufutwa kwenye orodha ya mapapa wanaotambulika na wakawa declared #AntiPope. Papa Felix II ni...www.jamiiforums.com