Umpe wewe na Nani?Tumpe mda kwanza
UjingaUmpe wewe na Nani?
Hivi sifa/kigezo kikuu cha kuwa mataga ni nini? Uwezo wa kuimba mapambio! Uwezo wa kusifu na kuabudu watu! Uwezo wa kulamba watu wengine miguu! Unafiki ulio pitiliza, au!🤔Habari wanajf, Leo ni lazima niliongelee hili ili roho yangu itulie.
Nimemfatilia mama muda mrefu Sana toka enzi za JPM Hadi sasa yeye kuwa raisi.
Mama Samia nathubutu kusema ni shujaa na ni chuma, jinsi anavyofanya kazi zake na jinsi ambavyo anaimudu hadhira.
Teuzi zake zote zipo vizuri na atawamudu, naiona Tanzania ikipaa zaidi kiuchumi. Hivyo Mimi bila kushawishiwa na Mtu yoyote naunga mkono mama Samia akae hata miaka 20 kwenye uraisi.
Ana maono, ana uthubutu na ana uwezo, ninamuona Kama malaika.
Kongole mama Samia, shikilia hapohapo na nitakuwa mkali kwa yoyote ambaye atakuwa na dhamira ya kukwamisha na kukuchafua
Ni mapema sana kumtabiria huyu mama mambo mazuri lakini muda utasema.Habari wanajf, Leo ni lazima niliongelee hili ili roho yangu itulie.
Nimemfatilia mama muda mrefu Sana toka enzi za JPM Hadi sasa yeye kuwa raisi.
Mama Samia nathubutu kusema ni shujaa na ni chuma, jinsi anavyofanya kazi zake na jinsi ambavyo anaimudu hadhira.
Teuzi zake zote zipo vizuri na atawamudu, naiona Tanzania ikipaa zaidi kiuchumi. Hivyo Mimi bila kushawishiwa na Mtu yoyote naunga mkono mama Samia akae hata miaka 20 kwenye uraisi.
Ana maono, ana uthubutu na ana uwezo, ninamuona Kama malaika.
Kongole mama Samia, shikilia hapohapo na nitakuwa mkali kwa yoyote ambaye atakuwa na dhamira ya kukwamisha na kukuchafua
Tulia hivyohivyo dawa safari hii inaingia taratibu sanaHivi sifa/kigezo kikuu cha kuwa mataga ni nini? Uwezo wa kuimba mapambio! Uwezo wa kusifu na kuabudu watu! Uwezo wa kulamba watu wengine miguu! Unafiki ulio pitiliza, au!!! [emoji848]
We unaonaje? Kwamba Kama ni shujaa tusiseme?Mshaanza maujinga ujinga
Muda upi tena?Ni mapema sana kumtabiria huyu mama mambo mazuri lakini muda utasema.
Nani sasa ndio sio shujaaWe unaonaje? Kwamba Kama ni shujaa tusiseme?