polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Nipo na wananzengo hapa wanasema mitandao imeona mzee amekufa wameamua kupandisha bei na wanaenda mbali zaid kwamba kama mambo ndo hayo sio mda na ada zitarudi.
Mama hebu tupia jicho suala hili kwa haraka maana linagusa watanzania wengi sana moja kwa moja.
Mama hebu tupia jicho suala hili kwa haraka maana linagusa watanzania wengi sana moja kwa moja.