Aanze upya asihesabu yaliyopita.
1.Waachilie Waliobambikwa kesi jela, na mashehe kama ni adhabu tayari imetosha pili watesi wao awapo tena duniani.
2. Wakimbizi wa kisiasa wote waliokimbia nchi waruhusiwe kurudi nchini mtesi wao hayupo.
3.Futa sheria zote za kidikteta rejesha Utawala wa uwazi na ukweli
4.Wapinzani wape viti 40 bungeni Ili kuleta mariadhiano.
5.Baraza jipya la mawaziri kabudi, mwigulu,waziri wa afya na naibu wake out ingiza January,mtaka,nape,mavunde.
6.Wasiojulikana wote wasakwe popote wakachukue maharage yao waliyoyapanda.
8.Balance dini,kanda na kabila zingine nchi sio ya kabila moja.
9.Teua CDF,IGP,AG,DPP, mwanasheria mkuu, mkurugenzi mkuu wa tume ya uchaguzi.
10.Sheria za kodi zifumuliwe ziwe rafiki toza kidogo ukusanye zaidi.
11.Uhuru wa vyombo vya habari Ili visaidie kufichua uovu na ufisadi.
12.Mazingira mazuri ya Wawekezaji Ili ajira na kodi ziongezeke.
13.Ikulu ya dodoma igeuzwe chuo kikuu cha ufundi nchini kuanzia veta Hadi phd kuwa na ikulu mbili ni gharama.
Uwanja wa Chato wapewe jeshi uitwe Magufuli airwing Base Ili usipotee.
14.Boresha maslai ya watumishi.
15.Lipa fidia waliobomolewa nyumba zao.
16.Waliofukuzwa Kazi warejeshwe au walipwe kiinua mgongo si wamefanya Kazi lakini.
17.