Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Inamaana watanzania sharti waishi kama mashetani? Kwani hatuna haki ya kula raha na kufurahia maisha yetu ndan ya nchi yetu? Halafu Ruxa ndo kirusi gani mzee wangu? Samahan lkn mzee wangHamjamboni nyote wanangu humu jamvini? Naamini mnaendelea kuwaza tena vizuri. Hivyo, si vibaya kuwapa kachangamoto kadogo kanakonikwaza baba yenu. Kwa anavyoanza kujidhihirisha, kama sijamuelewa vibaya, rais SSH anaoneka kuwa kama Ruxa kuliko hata mzee wa ukweli na uwazi. Sijui wanangu mnamuonaje katika hili.
Ni Kweli lkn ikifikia hatua ya Wananchi kuwa na pesa kuliko Serikali,hapo sasa nchi haitatawalika.Ruksa ndio ilikua mwanzo wa kuingiza hata TV ndani ya TZ. Wanafanyabiashara wakubwa TZ ndio walizaliwa kipindi cha ruksa... acha kudharau ruksa..ilituondoa kwenye kupanga mistari ya unga na sabuni...
Tupe rahaaa!!.Safi sana ilikua hata kukaa bar mchana nongwa polis wanakufukuza kama mwiz mama tupe raha
Mbona mimi huwa ninakunywa tu.Hakuna sheria iliyobadilika kunywa bar siku za kazi wakudandie!
Fanya kazi ufaidike zinapokuja fursa.Hamjamboni nyote wanangu humu jamvini? Naamini mnaendelea kuwaza tena vizuri. Hivyo, si vibaya kuwapa kachangamoto kadogo kanakonikwaza baba yenu. Kwa anavyoanza kujidhihirisha, kama sijamuelewa vibaya, rais SSH anaoneka kuwa kama Ruxa kuliko hata mzee wa ukweli na uwazi. Sijui wanangu mnamuonaje katika hili.
King Kong III tumepata Rais ujue. Bado pesa kuingia mtaaniMkuu kwahiyo unafurahi watu waishi kama MASHETANI?
Kama unataka kuishi kama shetani kamfwate bwana yule kaburini chato.Hamjamboni nyote wanangu humu jamvini? Naamini mnaendelea kuwaza tena vizuri. Hivyo, si vibaya kuwapa kachangamoto kadogo kanakonikwaza baba yenu. Kwa anavyoanza kujidhihirisha, kama sijamuelewa vibaya, rais SSH anaoneka kuwa kama Ruxa kuliko hata mzee wa ukweli na uwazi. Sijui wanangu mnamuonaje katika hili.
Aisee kuna wajinga Wanaroho mbaya mno,huyo jamaa anatamani watu waishi kama ya kitumwaMkuu kwahiyo unafurahi watu waishi kama MASHETANI?
hiyo sio nzuriRuksa ndio ilikua mwanzo wa kuingiza hata TV ndani ya TZ. Wanafanyabiashara wakubwa TZ ndio walizaliwa kipindi cha ruksa... acha kudharau ruksa..ilituondoa kwenye kupanga mistari ya unga na sabuni...
Ruksa ndio ilikua mwanzo wa kuingiza hata TV ndani ya TZ. Wanafanyabiashara wakubwa TZ ndio walizaliwa kipindi cha ruksa... acha kudharau ruksa..ilituondoa kwenye kupanga mistari ya unga na sabuni...
Mkuu ukishalinywa kojo la shetani unageuka shetani. Ni bora hata hizo baa zikafungwa kwani zinaleta baa kama lilivyo jina lakeJamaa ali implement vitu vya ajabu sana ,anafikiri watu wote wameajiriwa serikalini? Yaani kwenda kunywa bar mchana kwa fedha yangu alikuwa anaona kama ni kero,anataka watu waishi kama mashetani bila kuwa na furaha.
Ni Kweli lkn ikifikia hatua ya Wananchi kuwa na pesa kuliko Serikali,hapo sasa nchi haitatawalika.