Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Ni kwel sema kutengua baraza lote ni kaz nyingine tena sema angalie wanaomfaa kwenye hii safari hadi 2025
 
Ubarikiwe sana Mkuu. Tupige maombi. Watashindwa tu hao mafisi. Mungu ametupa Rais wetu ni lazima tumtii na kumheshimu. Asafishe nyumba yake bila kuacha hata taka isiyoonekana.
Kwa umoja wetu watamzania wenye nia njema na nchi yetu bila kufuata ukanda maombi yetu yatakubaliwa na Mungu
 
Hakuna kitu umeandika utopolo mtupu!! Eti unamshauri kuifumua TISS from top to bottom!! Unaujua mfumo wa TISS wewe nyumb? Ngoja niishie hapa tu!.
 
Hakuna kitu umeandika utopolo mtupu!! Eti unamshauri kuifumua TISS from top to bottom!! Unaujua mfumo wa TISS wewe nyumb? Ngoja niishie hapa tu!.
Kwenye masuala ya TISS huyo unayemtukana humgusi hata chembe , hebu mfuatilie vizuri
 
Hata Obama alitaka kufunga Guantanamo Bay, lakini hadi Leo bado ipo na Obama alimaliza mihula yake 2 times US President
 
Kwenye masuala ya TISS huyo unayemtukana humgusi hata chembe , hebu mfuatilie vizuri
Wewe na huyo ni walewale tu. Nimeuliza unaujua mfumo wa TISS mpaka uufumue from top to bottom? Ndiyo swali langu nijibu basi dada?
 
Sasa akitaka kuanguka afanye hayo unayomshauri!
 
Hakuna kitu umeandika utopolo mtupu!! Eti unamshauri kuifumua TISS from top to bottom!! Unaujua mfumo wa TISS wewe nyumb? Ngoja niishie hapa tu!.
Wewe siyo saizi yangu,Tafuta saizi yako Bwana mdogo,naijua TISS nje ndani, ugolo ni wewe,bichwa lako ni Tupu,huna unalojua zaidi ya kushabikia CCM Tu kama kahaba wa Tandale,Eti unajiita Magu,naona na wewe mauti inakuita wakati wowote
 
CCM kulakula na wezi lazia watampinga huyu mama.
Ila kwa wasaliti ndani ya ccm ni wengi mno! hasa yule wa pale mjengoni idodomya ni msaliti na ndumi la kuwili kwleikweli!
Mama kuwa makini sana mandumi la kuwili na wanafiki ndani ya ccm kwani mchana wanakuunga mkono lakini usiku wana vikao vya kukukwamisha!
 

miezi miwili tu tayari ushatoa score marks[emoji16][emoji16].
 
Hapa upo ufipa halafu unampa ushauri Rais Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…