Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Naunga hoja mkono 100/100 wapo baadhi wana agenda mbaya sana kwa mama yetuHizi kelele na miluzi mingi zitakuangusha ktk uongozi wako.
Vunja Baraza la mawaziri unda upya, hizi kelele za kina musiba kibajaji, musukuma zitaisha.
Watakuogopa.
Sasa hivi Kuna kelele nyingi wengine wanakukubali lakini lipo kundi la wachache hawakukubali kabisaaa
USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA